Naombeni ushauri juu ya hili

Naombeni ushauri juu ya hili

Doly

Member
Joined
Feb 7, 2013
Posts
16
Reaction score
2
Habarini wana JF wote. Naombeni mnisaidie hili laniumiza moyo sana.

Mie ni mdada wa miaka 30. Nilishawahi kuwa na mpenzi nikampenda sana tena sana hadi ikafika wakati nikazaa naye mtoto mmoja. Kutokana na matendo na ishara npatazo kwake nimeshindwa vumilia japo ananisumbua sana inafika hata akinikuta nipo na watoto wa kiume anachukia ila nimemweka wazi kuwa siwzi ten kuumia.

Sasa tatizo langu ni kwamba kutokana na matatizo yalonikuta hata wanaume cwapendi kimapenzi ya uwenza, kwani kila anitamkiaye namwona ni yuleyule tu. Nianyeje?

TAFADHALINI NISAIDIENI
 
Hebu funguka kidogo mdada ni ishara gani unazoziona?
 
kaa lea mwanao
sio lazima kuwa na mwanaume
kama unaweza kuepuka zinaa ,kitulize
 
Sijakuelewa, kwani huyo uliyezaa nae ndo ukikukuta na watoto wa kiume ndo anachukia???
 
Ni kawaida na una haki ya kuwa hivo! Kila mtu anajinsi ya kupokea tukio, so uko sawa! ila unatakiwa ujue binaadamu hatufanani, so hata kama hutaki mpenzi lakini usimtreat vibaya asiyekutreat vibaya wewe!
 
Yaani hata kama uikiwa na matatizo hawi responsible hata kwa ushauri na mengine mengi
 
Back
Top Bottom