jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,242
Nina mke na watoto wawili mmoja ni kichanga wa miezi 3.
Sasa basi,ipo changamoto inayonikabili kwa mimi na mwenza wangu mara zote kila niwapo katika kubangaiza kwangu kwa ajili ya kupata chochote kwa ajili ya kujikimu huwa napokea meseji zake za matusi, kashfa na za kunidhalilisha mno na hasa kwa mambo ambayo kwayo si ya kweli!
Muda mwingi huwa sijibu upuuzi wake lakini kwa meseji hii ya sasa ya kunitukania mama yangu kwakweli nipo kwenye daladala imenifanya nifule zaidi ya nyati! Endapo nikifika nyumbani sioni namna ya yeye kuponyoka katika mikono yangu.
Tafadhari naomba mnipe ushauri nimfanyeje huyo kiumbe!?
Mbaya zaidi nimetoka kuhangaika kushusha mashudu yenye zaidi ya kilo 100 kila gunia na ujira ni Tsh 250 kwa kila moja na nkmechoka na natukaniwa mama yangu!
Nakaribia kushuka kituoni.....
Nisilaumiwe!
Sasa basi,ipo changamoto inayonikabili kwa mimi na mwenza wangu mara zote kila niwapo katika kubangaiza kwangu kwa ajili ya kupata chochote kwa ajili ya kujikimu huwa napokea meseji zake za matusi, kashfa na za kunidhalilisha mno na hasa kwa mambo ambayo kwayo si ya kweli!
Muda mwingi huwa sijibu upuuzi wake lakini kwa meseji hii ya sasa ya kunitukania mama yangu kwakweli nipo kwenye daladala imenifanya nifule zaidi ya nyati! Endapo nikifika nyumbani sioni namna ya yeye kuponyoka katika mikono yangu.
Tafadhari naomba mnipe ushauri nimfanyeje huyo kiumbe!?
Mbaya zaidi nimetoka kuhangaika kushusha mashudu yenye zaidi ya kilo 100 kila gunia na ujira ni Tsh 250 kwa kila moja na nkmechoka na natukaniwa mama yangu!
Nakaribia kushuka kituoni.....
Nisilaumiwe!