aise
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 8,318
- 23,338
Hapana ndugu. Ulinipa namba usiku na asubuhi nimeamkia kazini. Kila nikipiga namba haipatikani. Siwezi kudhaharau sehemu fulani wakati sina sehemu nyingine, naomba mwongozo wa namna ya kufika, kama una namba nyinigne itasaidiaNimekwambia njoo ungindoni kuna kibanda tujiegeshe, nashangaa hunitafuti.
Labda unataka chumba cha kishua, nani ajuaye?
Aisee, asante kwa ushauriTafuta kibanda cha mama Lishe ulale. Au ongea na walinzi wa mapagale utapata pa kujisitiri
Mkuu tukiwaga makazini tunaulamba kumbe wengine tunapitia changamoto. Sasa kuanza kumlilia shida mfanyakazi mwenzako kama hiyo unaogopa asije kukutangaza kuwa hata sehemu ya kulala huna kama kalubandika.Unapofanya kazi hauna wafanyakazi wenzako au boss wako au mtu yoyote anaeweza kukusaidia?
Nauliza hivyo kwakuwa ni rahisi zaidi kupata msaada kwa watu ulio nao karibu kuliko mtu wa mtandaoni ambae hakufahamu.
NotedPole sana ndugu. Safari yake imekuwa rough sana. Ila Mungu atakuvusha. Majaribu ni mitihani ya maisha tu. Akiisha kukuvusha usiwasahau wanaopitia changamoto kama zako
Mkuu upo sahihi 100%Usidhubutu ku entertain shida zako Ofisini watakuchoka haraka, Wewe pambana bila hata watu wa ofisini kujua chochote kuhusu Life lako, Niliajiliwa sehemu Wakati natoka Chuo salary ilikuwa ndogo ndani ya miezi Miwili ilibidi nikae hostel za Chuo, Hakuna Mtu alijua
Ungemuuliza kama yeye ni KE au ME?Mkuu njoo hapa Ungindoni ujiegeshe kwenye kibanda nilichopanga, ni chumba hakina umeme, ila kwa kujiegesha kama ulivyosema, kinafaa.
Hilo suala la wizi ni hatariWaungwana wapo kikubwa ukipata sehemu kawe mwaminifu kwa mke wa mwenyenyumba na ukiondoka usichukue namba ya wife wala kuchora raman ya kuingilia ndani uibe.Sorry ni maneno makali lakini ndo uhalisia wa dunia ya sasa