hhsmakwato
Member
- Mar 19, 2015
- 97
- 51
Wanajamvi habari za mihangaiko..
Naomba msaada kama Kuna anaeelewa juu ya hili tatizo langu.
Kiufupi ni kwamba nilinunua vocha ya Kenya sh 300 kwa ajili ya kuingiza kwenye Line yangu ya airtel lakini Bahati mbaya sikufanikiwa kuweza kuingiza kule Kenya...sasa nimerudi Tz je naweza kuingiza vocha ya airtel Kenya kwenye line yangu ya airtel hapa Tz ? Naomba msaada.....
Naomba msaada kama Kuna anaeelewa juu ya hili tatizo langu.
Kiufupi ni kwamba nilinunua vocha ya Kenya sh 300 kwa ajili ya kuingiza kwenye Line yangu ya airtel lakini Bahati mbaya sikufanikiwa kuweza kuingiza kule Kenya...sasa nimerudi Tz je naweza kuingiza vocha ya airtel Kenya kwenye line yangu ya airtel hapa Tz ? Naomba msaada.....