Naombeni msaada

Naombeni msaada

EVATI

Member
Joined
Nov 3, 2018
Posts
18
Reaction score
8
Habali Wana Jr Naombeni Msaada Wenu Simu Yangu baada Ya Kuiroot Ilikuwa Inaishia Kuandika Logo Ya TECNO ilikuwa haifunguki nili iflash but nikakuta kuna mabadiliko mwanzoni ilikuwa inasoma 3G Laini Zote But Nilivo Iflash Nikakuta Inasoma 3G Laini 1 Naombeni msaada kama kuna uwezekano wa kuiludisha kama zaman ni TECNO Y3+ (Nb Nime Unlock)
 
3G line zote mbili so muhimu uneless unatumia Feature ya HD voice.

Umejaribu kwenda setting kisha connection kisha sim card management ama sometime mobile network na kuangalia line zote mbili zipo umts/3G?
 
It's Obviously iyo new Firmware uliyo flash as itnayo bugs na pia make sure umeweka Firmware according to the version uliyonayo (MODEL) na pia the LOCATION iliyokuwa made for.
 
Back
Top Bottom