Naombeni msaada

Naombeni msaada

fikirini

Senior Member
Joined
May 24, 2011
Posts
114
Reaction score
22
habari wana jF, nina tatizo la ku edit basic infmtn kwenye akaunti yangu ya yahoo mail., niliyoifungua tangu 2004. kila nikiedit jina langu, sioni mabadiliko, i mean nikisha sign in..naambiwa Hi........(linatokea jina la zamani) na sio badiliko nililofanya..na pia ninapotuma barua pepe linatokea jina la zamani kwa yule mpokeaji..nahisi nakosea mahali. naomba muongozo
 
Back
Top Bottom