Naombeni msaada wenu

Naombeni msaada wenu

Msabato ni afadhali ya muislamu. Wameshika mafundisho yenyewe yakina mafarisayo na masadukayo. Mmoja lazima abadili dini. Inataka moyo.

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
Msabato ni afadhali ya muislamu. Wameshika mafundisho yenyewe yakina mafarisayo na masadukayo. Mmoja lazima abadili dini. Inataka moyo.

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk

whom I am to Judge - sosi Pope Benedict
 
Mi nakwambia hivi wewe unasema SI KWELI jamani

Nifundishe basi njia moja nifunguke yangu ya moyoni

Kuna PM kuna Simu

Kweli umzimikie mtu uje uweke hapa hadharani?

Hata kama huna namba ya simu hata PM?

Sidhani kama huyajui hayo .....

Zaidi nitakuona unanidanganya mtu mzima kama mimi

Mtu mwenye mapenzi ya kweli na mtu hujua nini sahihi cha kufanya!!
 
Back
Top Bottom