Naombeni msaada wenu

Naombeni msaada wenu

Nimeishia hapo uliposema kazi yoyote nzuri, hiyo inajiweka wazi huwezi kufanya kazi yoyote nzuri, pambana na hali yako.
Zipo kazi za kuumizana na sio ajira za kawaida umewahi kwenda pale darling mbagala umewahi kwenda kujionea kazi wanazofanya watanzania pale cello temeke mwisho na sehemu nyingine nyingi ambazo wanachukulia mtu mwenye shida ya kazi kama sio binadamu wa kawaida
Kwanini hio 150k usiifanye mtaji uangalie nini cha kufanya.
Kama ipi
 
Zipo kazi za kuumizana na sio ajira za kawaida umewahi kwenda pale darling mbagala umewahi kwenda kujionea kazi wanazofanya watanzania pale cello temeke mwisho na sehemu nyingine nyingi ambazo wanachukulia mtu mwenye shida ya kazi kama sio binadamu wa kawaida Kama ipi
Basi komaa na hali yako ukichoka utuambie tukutafutie kazi mbaya.
 
Unaelewa ninachokimaanisha au umekuja kubishana
Sihitaji kubishana ndio maana nimekwambia ukomae na hali yako, ni zumbukuku wa maarifa pekee ndiye ambaye anaweza kushindwa kuelewa nilicho kimaanisha.
 
Zipo kazi za kuumizana na sio ajira za kawaida umewahi kwenda pale darling mbagala umewahi kwenda kujionea kazi wanazofanya watanzania pale cello temeke mwisho na sehemu nyingine nyingi ambazo wanachukulia mtu mwenye shida ya kazi kama sio binadamu wa kawaida

Kama ipi
Kaz za uko mkuu ziko je?
 
Mleta mada, Majibu unayotoa kwenye comment section yanaonyesha wewe huna uweledi wa aina yeyote na huna akili hata ya kuzaliwa nayo. Hivyo, huajiriki popote.
 
Back
Top Bottom