Ibn Abdillah6
Member
- Sep 3, 2020
- 60
- 29
- Thread starter
- #21
Ndio hivyo Broh🤣ooohoo
Ndio hivyo Broh🤣ooohoo
Duuh poaaa kaka ahsante 😓wewe ni lijinga!
Kwanini kaka?Uchafu tu
Kama anamimba sio yakohatukufanya tendo la ndoa hiyo siku zaidi tu tulifanya romance
Kabisa. Ukihifadhiwa vizur unaonyesha had masaa 8.Kwahiyo ndugu yangu mkojo hata ukipita masaa manne ukija kupima taarifa itakayo kuja ni sahihi katika kipimo?
🥺🥺🥺Kama anamimba sio yako
Shukran ndugu yanguKabisa. Ukihifadhiwa vizur unaonyesha had masaa 8.
Oyaaaaa😁😁😁😁Mstar mmoja ina maana ni Negative.
Hakuna Mimba.
Tuachane na hayo.
Nakumbuka miaka ya nyuma (2014-2017) nilikaa Kinondoni Studio - stereo.
Kuna mwamba alikuwa anauzia wale wanawake wajanja wa mjini mikojo ya wanawake wenye mimba.
Anakupa na mbinu kabisa ili jamaa aamini.
Unaaambiwa umwambie Mwanaume anunue kipimo, alaf aje nacho. Mwanamke anakuwa ameficha ule mkojo wenye mimba kwenye kikopo kidogo,
Akipewa kipimo anaenda toilet na Poch yake anadai anatoa wipes kujifuta. Kumbe akifika toi anachomeka kipimo na kinasoma positive.
Anakuletea UPT uliyoleta mwenyewe ikiwa positive.
Siku hiyo mzigo utapewa ila utatoa hela ya kula mboga na hela ya kutoa mimba.😂😂😂
Vipi tena kaka🤣O
Oyaaaaa😁😁😁😁
Vipi tena kak
Ayo mapigo anayokupiga uyo demu ya mimba hewa n.k. ni zaidi ya yale aliyopigwa farao 😂😂Vipi tena kaka🤣
Ukimwi umepima?Kwahiyo ndugu yangu mkojo hata ukipita masaa manne ukija kupima taarifa itakayo kuja ni sahihi katika kipimo?
Hapana kwani vipi kaka?Ukimwi umepima?
Kesho nakaita geto tunafanya hapo hapo kipimo 🤣🤣Ayo mapigo anayokupiga uyo demu ya mimba hewa n.k. ni zaidi ya yale aliyopigwa farao 😂😂
Hiyo stick inaonesha ameukwaaHapana kwani vipi kaka?
Kwamba ni mimba sasa mbona imekuja mstari mmoja?Hiyo stick inaonesha ameukwaa
Ni dalili za ukimwiKwamba ni mimba sasa mbona imekuja mstari mmoja?
😂😂😂 Unazingua kakaNi dalili za ukimwi