Ibn Abdillah6
Member
- Sep 3, 2020
- 60
- 29
So mkojo hauna shida hata ukiwa na muda zaidi wa masaa manne? Hapo ni mstari mmoja tu ndugu yangMimba changa sana haionekani au Hana mimba kabisa
Tatizo ni mtoto wa geti kali alafu yeye anaogopa kupima but leo nita force aje homekwanini msiende wote hospital au mnunue wenyewe kipimo? ikiwa mkojo si wake?
Unamaanisha nini kaka? kua sio mkojo wake?Mchumba wako ni janja kukuzidi mkali, stuka....🤣
Sawa kaka tufanye sio wake amenipiga 🤣 ila swali langu muhimu je mkojo wa uliokaa zaidi ya masaa manne kwenye chupa unafaa kupima mimba km iko?Mchumba wako ni janja kukuzidi mkali, stuka....🤣
Ndiyo hakuna expire timeSo mkojo hauna shida hata ukiwa na muda zaidi wa masaa manne? Hapo ni mstari mmoja tu ndugu yang
Ahsante kaka maana baadhi ya watu wanasema haufai hata AI ndio jibu lakeNdiyo hakuna expire time
Iko hivi kaka huyu binti nakaribia kumuoa Mungu akipenda mwezi wa 9, sasa toka nikutane naye (chumbani) ni week 3 na siku zake Sasa anasema hajielewi mwili wake anaona km yuko na dalili za mimba, sasa ndio leo nimefanya kuchukua mkojo wake kupima tujue mbivu na mbichi ili tujue cha kufanya, nikija kujibu swali lako mimi hii mimba sikutarajia kabisa ila kaka ni story kidogo nikianza kukuambia yaan hata sielewi imekuaje, kwani hata hatukufanya tendo la ndoa hiyo siku zaidi tu tulifanya romance na kuparaza tupu yangu juu ya tupu yake na pia hata sikutoa shahawa (sperms) zaidi ya yale maji yanayo toka mtu akiwa na hisia nyingi, basi story nzima ndio hiyo ndugu yangu.Wewe kulingana na hayo majibu umefurahi au umechanganyikiwa?!
ooohooIko hivi kaka huyu binti nakaribia kumuoa Mungu akipenda mwezi wa 9, sasa toka nikutane naye (chumbani) ni week 3 na siku zake Sasa anasema hajielewi mwili wake anaona km yuko na dalili za mimba, sasa ndio leo nimefanya kuchukua mkojo wake kupima tujue mbivu na mbichi ili tujue cha kufanya, nikija kujibu swali lako mimi hii mimba sikutarajia kabisa ila kaka ni story kidogo nikianza kukuambia yaan hata sielewi imekuaje, kwani hata hatukufanya tendo la ndoa hiyo siku zaidi tu tulifanya romance na kuparaza tupu yangu juu ya tupu yake na pia hata sikutoa shahawa (sperms) zaidi ya yale maji yanayo toka mtu akiwa na hisia nyingi, basi story nzima ndio hiyo ndugu yangu.
Hahahahhahahahaha😆😆😆😆😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Iko hivi kaka huyu binti nakaribia kumuoa Mungu akipenda mwezi wa 9, sasa toka nikutane naye (chumbani) ni week 3 na siku zake Sasa anasema hajielewi mwili wake anaona km yuko na dalili za mimba, sasa ndio leo nimefanya kuchukua mkojo wake kupima tujue mbivu na mbichi ili tujue cha kufanya, nikija kujibu swali lako mimi hii mimba sikutarajia kabisa ila kaka ni story kidogo nikianza kukuambia yaan hata sielewi imekuaje, kwani hata hatukufanya tendo la ndoa hiyo siku zaidi tu tulifanya romance na kuparaza tupu yangu juu ya tupu yake na pia hata sikutoa shahawa (sperms) zaidi ya yale maji yanayo toka mtu akiwa na hisia nyingi, basi story nzima ndio hiyo ndugu yangu.
wewe ni lijinga!Iko hivi kaka huyu binti nakaribia kumuoa Mungu akipenda mwezi wa 9, sasa toka nikutane naye (chumbani) ni week 3 na siku zake Sasa anasema hajielewi mwili wake anaona km yuko na dalili za mimba, sasa ndio leo nimefanya kuchukua mkojo wake kupima tujue mbivu na mbichi ili tujue cha kufanya, nikija kujibu swali lako mimi hii mimba sikutarajia kabisa ila kaka ni story kidogo nikianza kukuambia yaan hata sielewi imekuaje, kwani hata hatukufanya tendo la ndoa hiyo siku zaidi tu tulifanya romance na kuparaza tupu yangu juu ya tupu yake na pia hata sikutoa shahawa (sperms) zaidi ya yale maji yanayo toka mtu akiwa na hisia nyingi, basi story nzima ndio hiyo ndugu yangu.
Kwahiyo ndugu yangu mkojo hata ukipita masaa manne ukija kupima taarifa itakayo kuja ni sahihi katika kipimo?Mstar mmoja ina maana ni Negative.
Hakuna Mimba.
Tuachane na hayo.
Nakumbuka miaka ya nyuma (2014-2017) nilikaa Kinondoni Studio - stereo.
Kuna mwamba alikuwa anauzia wale wanawake wajanja wa mjini mikojo ya wanawake wenye mimba.
Anakupa na mbinu kabisa ili jamaa aamini.
Unaaambiwa umwambie Mwanaume anunue kipimo, alaf aje nacho. Mwanamke anakuwa ameficha ule mkojo wenye mimba kwenye kikopo kidogo,
Akipewa kipimo anaenda toilet na Poch yake anadai anatoa wipes kujifuta. Kumbe akifika toi anachomeka kipimo na kinasoma positive.
Anakuletea UPT uliyoleta mwenyewe ikiwa positive.
Siku hiyo mzigo utapewa ila utatoa hela ya kula mboga na hela ya kutoa mimba.😂😂😂