nilifanya application ya degree na nikachaguliwa lakini cha ajabu course niliyomba iomba udom na waliyonipangia apo udom ni tofauti kabisa na hyo course sikuhijaza hata katika hvo vyuo vingne
naombeni ushaur wenu jamani
Inawezekana ulifanya mabadiliko katika ombi lako bila kukumbuka na kama umeprint itaonyesha tarehe na saa uliyofanya application yako na kama umefanya mabadilikoTCU watakuwa na tarehe na saa uliyofanya mabadiliko pia . Wasiliana nao kama una uhakika password yako hujampatia mtu akakufanyia uhuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.