fidelis zul zorander
JF-Expert Member
- Mar 6, 2012
- 685
- 175
nimemaliza 4m six nimepata div 3.17 ya hgl naipenda sana rulal development nataka nisome diploma naombeni mnisaidie vyuo vinavyotoa hiyo course na jinsi ya kuapply....asanteni wakuu
wahi apply chuo kipo mwanza na kingine dodoma ila sijui kama haujachelewa.
Apply Chuo cha Mipango Dodoma.
Na mimi jamani pia napenda kwenda IRDP But nimepata III-15 HIST-S GEO-E na KISW-D
mkuu naweza nikapata jina kamili ili nikigoogle
Vp?kuhusu MKOPO ndugu yangu?
una vigezo vya kuomba chuo kikuu, omba usicheleweNa mimi jamani pia napenda kwenda IRDP But nimepata III-15 HIST-S GEO-E na KISW-D