Aende ufundi akasome stadi itakayomsaidia kuingiza kipato direct.. hiyo public administration hata akimaliza kwa ngazi ya certificate hadi afikie nchi ya ahadi atakuwa kashaitukana serikali na mashirika binafsi kuwa hayaajiri watu..Habari zenu wana jamii,
Nina rafiki yangu alikuwa anasoma Public Administration(Certificate) ameshindwa kufikisha course work kwenye masomo yote. Msaada wenu mtu kama huyu tunamsaidiaje?