Naombeni msaada wa kimawazo

dranx

Senior Member
Dec 31, 2018
190
84
Habari zenu wana jamii,
Nina rafiki yangu alikuwa anasoma Public Administration(Certificate) ameshindwa kufikisha course work kwenye masomo yote. Msaada wenu mtu kama huyu tunamsaidiaje?
 
Habari zenu wana jamii,
Nina rafiki yangu alikuwa anasoma Public Administration(Certificate) ameshindwa kufikisha course work kwenye masomo yote. Msaada wenu mtu kama huyu tunamsaidiaje?
Aende ufundi akasome stadi itakayomsaidia kuingiza kipato direct.. hiyo public administration hata akimaliza kwa ngazi ya certificate hadi afikie nchi ya ahadi atakuwa kashaitukana serikali na mashirika binafsi kuwa hayaajiri watu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom