Naombeni msaada nifike Dodoma nikafanye interview

Naombeni msaada nifike Dodoma nikafanye interview

nstarone

Member
Joined
Dec 4, 2014
Posts
46
Reaction score
6
Jamani wana jamvi nimehitimu mwaka jana maisha yamenipiga.

Mwenye uwezo ñaomba anisaidie nikafanye interview tarehe22 mwezi wa 6,2015.

Nimekata tamaa ya kwenda nikipata msaada nitàshukuru sana.

Post niendayo ni ACCOUNTANT II
 
Interview post gani? Unataka msaada gani? Wewe me or ke?
 
Unahitaji msaada wa kitu gani?

Nyosha maelezo
 
nafahamu ww ni kijana mwenzangu ambaye unapambana kutafuta maisha, pole sana kwa michakato ya kutafuta ajira, wote tupo kwenye mkondo huo huo wa kutafuta ajira bila kuchoka..

Kaka nipo tayar kukusaidia kwa maradhi na chakula kwa kipindi ambacho utakuwa Dodoma kwa ajiri ya usaili.

Ila pia sina uhakika sana kama unaitaji msaada huo kwa kuwa maelezo yako hayakujitosheleza, ila kama ni huo nilioutaja hapo juu, naomba uni-PM..
 
nafahamu ww ni kijana mwenzangu ambaye unapambana kutafuta maisha, pole sana kwa michakato ya kutafuta ajira, wote tupo kwenye mkondo huo huo wa kutafuta ajira bila kuchoka..

Kaka nipo tayar kukusaidia kwa maradhi na chakula kwa kipindi ambacho utakuwa Dodoma kwa ajiri ya usaili.

Ila pia sina uhakika sana kama unaitaji msaada huo kwa kuwa maelezo yako hayakujitosheleza, ila kama ni huo nilioutaja hapo juu, naomba uni-PM..

safi bro salute!umetoa msaada wa hali,na sio mali.
 
Kwanza utaaminikaje kama kweli unashida pia haujanyosha malezo yako kamili..sema na mahali unapoenda fanya interview ..
 
Jamani wana jamvi nimehitimu mwaka jana maisha yamenipiga.

Mwenye uwezo ñaomba anisaidie nikafanye interview tarehe22 mwezi wa 6,2015.

Nimekata tamaa ya kwenda nikipata msaada nitàshukuru sana.

Post niendayo ni ACCOUNTANT II

ndugu kwa maelezo yako haya sujui utasaidiwa nini sababu wew mwenyew hujasema kama unahitaji msaada wa nauli,ramani ya kufika Dodoma,au interview ilipo.Chuo gani umesoma hata kujieleza huwezi hiyo interview utaimudu kweli au ndio umekata tama hata ya kujieleza pia? jieleze vizur utasaidiwa matapeli wako wengi siku hizi
 
Back
Top Bottom