KAKA YAKO NAPITA
JF-Expert Member
- May 16, 2014
- 1,322
- 233
Nyie ni watoto wa chuo xha uhasibu arusha ..kwa tondi
mmmh kumbe mko wengi
Nyie ni watoto wa chuo xha uhasibu arusha ..kwa tondi
Ndugu zangu mm nimeitwa chuo cha mipango dodoma.ni mvulana 27 yes old. Ambaye hajaguswa haina haja kunidhihaki.
nafahamu ww ni kijana mwenzangu ambaye unapambana kutafuta maisha, pole sana kwa michakato ya kutafuta ajira, wote tupo kwenye mkondo huo huo wa kutafuta ajira bila kuchoka..
Kaka nipo tayar kukusaidia kwa maradhi na chakula kwa kipindi ambacho utakuwa Dodoma kwa ajiri ya usaili.
Ila pia sina uhakika sana kama unaitaji msaada huo kwa kuwa maelezo yako hayakujitosheleza, ila kama ni huo nilioutaja hapo juu, naomba uni-PM..
Ndugu zangu mm nimeitwa chuo cha mipango dodoma.ni mvulana 27 yes old. Ambaye hajaguswa haina haja kunidhihaki.
Dah! pole sana mkuu..
Njia ni ile ile tunaipita wote..
Hatimaye na mimi naanza mishe za kuzunguka na barua this July..:wacko::wacko::wacko:
......
Maisha ya shule bye bye kwa muda ....😛oa😛oa😛oa
Karibu mtaani, huku utakuwa mteja mzuri wa bahasha za kaki.