Victor Junior
Member
- May 26, 2012
- 64
- 8
ni mtahiniwa wa mwaka 2013. Nilikuwa naomba kujua kujua nawezaje ku apply kwa kujiunga na masomo ya afya kwa vyuo vya serikali..
unaweza kwenda moja kwa moja kwny chuo husika na c.v zako au utume maombi wizarani