Naombeni msaada kati ya hzi masters course;

Naombeni msaada kati ya hzi masters course;

Cash Generating Unit

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
13,285
Reaction score
39,490
Wakuu habari zenu,
Kwa wale wataalam wa mambo naomba msada wenu hivi kati ya hizi postgraduate course ipi nzuri ya kusoma naplan nianze mastars next year.

1. Msc in Finance & big data analytics
2. Msc in Financial modeling & optimization

Naombeni msaada na ushauri hapo nisome ipi?
 
Wakuu habari zenu,
Kwa wale wataalam wa mambo naomba msada wenu hivi kati ya hizi postgraduate course ipi nzuri ya kusoma naplan nianze mastarz next year.

1. Msc in Finance & big data analytics
2.Msc in Financial modeling & optimization

Naombeni msaada na ushaur hapo nisome ipi?
Nisaidie nikitaka kuapply masters nafata process zipi.
 
Big data analytics ndo dunia inapoenda
 
Ndo maana nchi yetu haendelei; anamaliza form 4 anaomba ushauri cha kusoma mbeleni adi anaetaka kusoma masters nae anaomba ushauri. kusoma masters siyo lazima; unaweza kuchukua ata masters ya kuchekesha kama unaona ipo kwenye plan yako ya mbeleni.
Tupunguze kushusha usomi wetu; badala ya kutulea uchambuzi wa faida na hasara kwa kila kozi.
 
Back
Top Bottom