The patriot man
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 968
- 1,064
Wakuu habari zenu
Niende direct to the point ilikua ni mwaka 2016 nilikua mkoa wa kilimanjaro nafanya project moja pale moshi mjina nikakutana na binti mmoja mzuri saana nikamtongoza akakubali alaikua anasoma chuo cha ushirika moshi kwa sababu pale mimi nilikaa kwa mda wa miezi 8 akaja akahamia kwangu tukawa tunaishi wote kama mke na mume tulikua tunazini bila kinga siku za kukaribia kurudi zikaisha nikamuambia mimi nakaribia kuondoka ila tutakua pamoja akanisihi sana nikae pale nikamuambia no haiwezekani .
Basi bwana nikikwa dar mwezi wa 4 akanambia ana mimba yangu nikamuambia siko teari kulea akanambia wewe mwanaume ni shetani unakataa kiumbe chako nikajitetea ila hakunielewa akaniblock kila mahali na namba akabadilisha .Mimi nilidhani ananitania.
siku zikaenda miezi ikasogea hee siku moja nikapigiwa cm na Rafiki yake anambia ANNA(fiction name) amejifungua mtoto wa kiume mh nikapiga mahesbu siku ya mwisho mimi kukutana nae kimwili mpka alipokuja kujifungua daah nikawa 100% nahusika na ile mimba nikwa bado natafakari siku moja nimeingia whatsapp zikaingia pic za mtoto mdogo wa miezi kama 5 hivi kuzifungua vizuri daah copy yangu kabisaa.
Nikapiga ile namba akapokea x wangu akanmbia ulimkataa mtoto je huyo mtoto sio wako ikabdidi niwe mpole maana dogo kani copy Kila kitu akanmbia yule mtoto kampa mwanaume mwingine na sitokaa nimuone na nisimzoee akaniblock tena. na Ameolewa na mwanaume mwingine na Anaishi nae na hyo mtoto teari kashapewa jina la baba mwingine naumia sana.
wakuu naombeni msaada jinsi ya kumpata mwanangu
Niende direct to the point ilikua ni mwaka 2016 nilikua mkoa wa kilimanjaro nafanya project moja pale moshi mjina nikakutana na binti mmoja mzuri saana nikamtongoza akakubali alaikua anasoma chuo cha ushirika moshi kwa sababu pale mimi nilikaa kwa mda wa miezi 8 akaja akahamia kwangu tukawa tunaishi wote kama mke na mume tulikua tunazini bila kinga siku za kukaribia kurudi zikaisha nikamuambia mimi nakaribia kuondoka ila tutakua pamoja akanisihi sana nikae pale nikamuambia no haiwezekani .
Basi bwana nikikwa dar mwezi wa 4 akanambia ana mimba yangu nikamuambia siko teari kulea akanambia wewe mwanaume ni shetani unakataa kiumbe chako nikajitetea ila hakunielewa akaniblock kila mahali na namba akabadilisha .Mimi nilidhani ananitania.
siku zikaenda miezi ikasogea hee siku moja nikapigiwa cm na Rafiki yake anambia ANNA(fiction name) amejifungua mtoto wa kiume mh nikapiga mahesbu siku ya mwisho mimi kukutana nae kimwili mpka alipokuja kujifungua daah nikawa 100% nahusika na ile mimba nikwa bado natafakari siku moja nimeingia whatsapp zikaingia pic za mtoto mdogo wa miezi kama 5 hivi kuzifungua vizuri daah copy yangu kabisaa.
Nikapiga ile namba akapokea x wangu akanmbia ulimkataa mtoto je huyo mtoto sio wako ikabdidi niwe mpole maana dogo kani copy Kila kitu akanmbia yule mtoto kampa mwanaume mwingine na sitokaa nimuone na nisimzoee akaniblock tena. na Ameolewa na mwanaume mwingine na Anaishi nae na hyo mtoto teari kashapewa jina la baba mwingine naumia sana.
wakuu naombeni msaada jinsi ya kumpata mwanangu