Naombeni msaada jinsi ya Kujiunga na Chuo cha Ubaharia Posta (DMI)

Nimesomea Custody Transfer for oil and Gas Accounting, And Pipeline System across the country natamani sana Kuwa Baharia Meli Za Oil or Gas
 
Nimesomea Custody Transfer for oil and Gas Accounting, And Pipeline System across the country natamani sana Kuwa Baharia Meli Za Oil or Gas
Itabidi usome kozi ya awali ya ubaharia(Mandatory certificate) ambazo ni;

1.Elementary First Aid (EFA),
2.Fire Fighting and Fire Prevention, 3.Personal Survival Techniques(PST),
4.Personal Safety and Social Responsibilities (PSSR) na
5. Ship Security Awareness (SSA) hizi unaenda kuzisoma DMI au Chuo chochote duniani kinachotambulika na IMO na kinatoa vyeti vya STCW.

Gharama za kusoma hizo kozi zote 5 Kwa bongo ni kama laki 7.2 za kitanzania.

Baada ya kumaliza kusoma hizo unatakiwa utafute seamen book ambayo ni kama kitambulisho chako baharia kinachotoa taarifa ya ujuzi wako,utaifa na meli ulizotumikia.

Kwa vile unataka uwe baharia wa meli za mafuta na gesi itakubidi usome na Kozi ya Ship Tanker bila hii uwezi kufanya kazi katika meli za mafuta au gesi.
 
Itabidi usome kozi ya awali ya ubaharia(Mandatory certificate) ambazo ni;

1.Elementary First Aid (EFA),
2.Fire Fighting and Fire Prevention, 3.Personal Survival Techniques(PST),
4.Personal Safety and Social Responsibilities (PSSR) na
5. Ship Security Awareness (SSA) hizi unaenda kuzisoma DMI au Chuo chochote duniani kinachotambulika na IMO na kinatoa vyeti vya STCW.

Gharama za kusoma hizo kozi zote 5 Kwa bongo ni kama laki 7.2 za kitanzania.

Baada ya kumaliza kusoma hizo unatakiwa utafute seamen book ambayo ni kama kitambulisho chako baharia kinachotoa taarifa ya ujuzi wako,utaifa na meli ulizotumikia.

Kwa vile unataka uwe baharia wa meli za mafuta na gesi itakubidi usome na Kozi ya Ship Tanker bila hii uwezi kufanya kazi katika meli za mafuta au gesi.
Shukran Sana Mkuu!! Na Kuhusu Ajira Zake Ni Sehem gani Tunatuma Maombi ya Kazi
 
Uzi mzuri sana huu.
Mimi nna rafiki yangu anapenda kuwa baharia ila ameishia form four na cheti chake kina alama D mbili Tu ya Kiswahili na History.
Je anaweza kusoma DMI na kuwa baharia?
 
Ajira zipo za namana mbali mbali lakini zipo katika makundi 3 hivi.kuna bahari wanaokuwa engine room ambao wengi hasa ni ma engineer na wengine wakawa sio maengineer lakini kazi zao zinahusika na engine,kufuta oil,kukaza nati,kuwasha engineer nk.na hapo engine kuna wataalamu wa kila nyanja.

Mfano umeme,mechanics,boiler,nk.sehemu ya pili inaitwa deck.yaani deck ni sehemu yote ya juu maana engine room ipo chini kwahiyo juu kote hadi eneo la wazi juu.hapa ndio tunawapata manahodha,wafunga meli,ma watcher wakwenye meli nk.kundi latatu lenyewe lina hudumia watu wote hao kwa maana ya chakula na huduma ndogo ndogo.hapo unakutana na wapishi na wafanya usafi.
Mkuu,nina Bachelor ya Human resource Management,kuna mtu ameniambia ninaweza kusoma mandatory course alafu badae nikawa captain baada ya kusoma tena mambo kadhaa bila kupitia bachelor degree. je ni kweli ?
 
Itabidi usome kozi ya awali ya ubaharia(Mandatory certificate) ambazo ni;

1.Elementary First Aid (EFA),
2.Fire Fighting and Fire Prevention, 3.Personal Survival Techniques(PST),
4.Personal Safety and Social Responsibilities (PSSR) na
5. Ship Security Awareness (SSA) hizi unaenda kuzisoma DMI au Chuo chochote duniani kinachotambulika na IMO na kinatoa vyeti vya STCW.

Gharama za kusoma hizo kozi zote 5 Kwa bongo ni kama laki 7.2 za kitanzania.

Baada ya kumaliza kusoma hizo unatakiwa utafute seamen book ambayo ni kama kitambulisho chako baharia kinachotoa taarifa ya ujuzi wako,utaifa na meli ulizotumikia.

Kwa vile unataka uwe baharia wa meli za mafuta na gesi itakubidi usome na Kozi ya Ship Tanker bila hii uwezi kufanya kazi katika meli za mafuta au gesi.
mkuu,je mimi mwenye bachelor ya HR, nikipiga hizo course,nipitie njia gani tena kuja kuwa captain ?
 
mkuu,je mimi mwenye bachelor ya HR, nikipiga hizo course,nipitie njia gani tena kuja kuwa captain ?
Inawezekana unaweza ukawa na machaguo mawili usome long course au short course mpaka kufikia hatua ya kuwa ofisa (kupata cheti Cha umahiri -Certificate of Competency (CoC)).

Ukisoma long course itakubidi ukae darasani miaka 3/4 Kisha ukafanye mafunzo Kwa vitendo baharini (Sea time) Kwa mwaka mmoja na ukirudi ufanye mtihani wa mahojiano (Oral Examination) TASAC Kisha upewe cheti Cha umahiri leseni daraja la 3 (Certificate of Competency- CoC Class 3) hii itakuwezesha kuwa nahodha wa vyombo vidogo vinavyofanya kazi pwani na vyenye uwezo wa kubeba uzito usiozidi Tani 500. Pia kwenye Meli kubwa utahudumu kama afisa wa 3 muongoza Meli(Third Officer).

Baada ya miaka 2 utarudi darasani kusoma Class 1/2 Kwa muda wa miezi 9 na utafanya Tena mtihani wa mahojiano Ili upate leseni ya Class 1/2. Baada ya kufuzu utaweza kuhudumu kama Captain wa Meli au Chief Officer. Kwenye Meli kubwa utaanza kama Chief Officer au Second Officer Kwa kuwa na uzoefu mdogo baada ya muda unaweza kupewa nafasi ya Chief Officer. Na kwenye Meli kubwa wote mnaweza mkawa na Class 1/2 ila mmoja Mwenye uzoefu akapewa Kuwa Captain.

Njia ya Short Course
Hapo utaanza kusoma Short Course za awali za Ubaharia Kisha utaenda kufanya mafunzo Kwa vitendo baharini (Sea time) walau miezi 6 Kisha utasoma kozi ya Rating Part of Navigational Watch kozi ya wiki Moja Kisha atarudi baharini Kwa mafunzo au kufanya kazi Kwa muda wa Miaka 2.

Kisha utaingia darasani Kwa miezi 9 kusoma kozi ya uofisa Class 3 Baada ya kumaliza utafanya usahili wa mahojiano (Oral Examination) na ukafanya Melini kama ofisa Kisha utaenda kwa darasa la Class 1/2 baada ya miaka 2 na kuwa Chief Officer Kisha kufikia Nafasi ya Captain.

Kwa hapa Tanzania utapitia vikwazo na changamoto kadhaa kupata, kikubwa Nia.
Kama utahitaji kufikia direct lengo Kwa muda mfupi unaweza kwenda nchi kama India, Philippines na South Africa Unaingia Darasani Kwa muda Fulani Kisha Unaingia Melini Kisha unafanya Oral Examination unapata leseni yako mapema.

NB: Hio ni kama summary Kuna vitu naweza nikawa nimesahau
 
Kozi yoyote Bandari Ina Department mbalimbali kama Finance,Marine,Civil, Electric, Finance,HR, Business.

Wewe ukafanye kazi ipi
Kati Ya Marine Engineering, Maritime Transport Na Shipping And Logistics Management Ipi Itafaa Zaidi Apo Nataka Kufanya Kazi Bandari Za Hapa Nyumbani Tz
 
Kati Ya Marine Engineering, Maritime Transport Na Shipping And Logistics Management Ipi Itafaa Zaidi Apo Nataka Kufanya Kazi Bandari Za Hapa Nyumbani Tz
Zote anafanya Kazi Bandari, saizi kuhusu kupata Kazi Serikali ategemee mpaka Utumishi watangaze kwaiyo hata Awe na Marine Engineering atakaa benchi kusubiri siyo ticket ya kupata Kazi direct.

Na asiumize kichwa kuwaza kuwa hizo kozi ulizotaja ndio kigezo Cha kufanya Kazi Bandari. Kuna kozi kama Afya,Kodi,IT,Uhasibu, Tally Clerk,Watu wa masijara, Sheria Wana ajiriwa na Bandari. Bandari Kuna idara nyingi kila fani Ina equal chance ya kupata ajira tofauti ni idadi ya nafasi kutokana na Uhitaji.
 
Zote anafanya Kazi Bandari, saizi kuhusu kupata Kazi Serikali ategemee mpaka Utumishi watangaze kwaiyo hata Awe na Marine Engineering atakaa benchi kusubiri siyo ticket ya kupata Kazi direct.

Na asiumize kichwa kuwaza kuwa hizo kozi ulizotaja ndio kigezo Cha kufanya Kazi Bandari. Kuna kozi kama Afya,Kodi,IT,Uhasibu, Tally Clerk,Watu wa masijara, Sheria Wana ajiriwa na Bandari. Bandari Kuna idara nyingi kila fani Ina equal chance ya kupata ajira tofauti ni idadi ya nafasi kutokana na Uhitaji.
Sawa Mkuu Nimekuelewa
 
Kwenye meli za kisasa Mtu wa IT anahitajika sana, usikate tamaa wewe umebakiza hatua ndogo ya kusoma kozi fupi za masuala IT za melini.

Kama utaenda kusoma DMI wao hawana kozi ya IT pale kuna Electro Technician Officer huyu kazi yake ni kufanya shughuli zote za umeme melini na vifaa vya umeme.Huyu anakuwa kwenye meli za kisasa.

Hayo mambo ya IT hapa Tanzania hawafundishi ila ndoto yako ni nzuri sana, umelenga kitu cha kipekee. Masuala ya IT melini huwa yana shughulikiwa na mafundi kutoka nje. Meli Ina mifumo mingi ya mawasiliano kama radar, radio,satellite, GPS na internet.

Hiyo kozi yako nakushauri kama unapesa jichange kasome hata short course nchi kama Serbia, Malta au South Africa. Sana jitahidi upate nchi za ulaya mashariki kule bei zipo chini.

Ukimaliza hayo masuala ya IT unaweza ukadeal na vifaa kama Radar,GPS na mifumo ya internet. Hao watalamu wapo wachache sana na utakuwa na wigo mpana wa kupata kazi.
Mm nmesomea umeme wa magari je katika mfumo wa engine wa meli unahusiana kidogo niende
 
Mm nmesomea umeme wa magari je katika mfumo wa engine wa meli unahusiana kidogo niende
Wewe itabidi usome Electro Technician Course na Utakuwa Electro Technician Officer katika meli majukumu Yako itakuwa ku Deal na umeme na mifumo yote ya electronic melini. Meli za Sasa ni za kisasa mifumo mingi ni umeme na hydraulic katika operation na hii kozi imekuwa deal sana karibuni kwenye meli. Ingawa Kuna Chief Engineer, Second Engineer,Third Engineer na watu wa rating kama Oiler.


Mfumo wa engine wa Meli na gari ni sawa zote ni Internal Combustion Engine. Tofauti ni kwenye starting system ambapo kwenye gari sana inatumika electric starting kwenye Injini kubwa za Meli inatumika pneumatic starting na cooling system ya Meli ni open loop water cooling system ambapo maji huvutwa baharini na pampu Kisha kupoza Injini na kurudishwa nje.
Kikubwa mfumo wa Injini ni ule ule baadhi ya mifumo ndio IPO tofauti.
 
ukienda kusoma unaweza kuamua kuwa utakuwa kule engine room au deck.na kila sehemu ina changamoto zake.yapo mengi napenda kukwambia lkn naona nivigumu kutype kila kitu hapa.
Mkuu,nimerudi Tena,Mwaka 2018 nilikuuliza maswali kadhaa,leo swali langu ni kwamba nimepigwa hiko chuo kinatoa basic mandatory course za Safety,na kwamba nikizisoma zinahitajika sio tu baharini Bali hata migodini nk
Je ni kweli ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom