BLISS
Member
- Mar 31, 2011
- 54
- 12
naomba kuuliza je unaweza kufuta post yoyote ambayo hujatuma wewe? kuna post nilikuwa naiangalia ya mchawi aliyeibuliwa kanisa la efatha kutoka loliondo lakini sasa siioni tena, nahisi kama wakati naisoma nime delete kwa bahati mbaya, naomba msaada ili niweze kuiona,
natanguliza shukurani.
mbarikiwe!
natanguliza shukurani.
mbarikiwe!