Wewe hizi unaweza kuzinunuaYani ni uzembe wa hali ya juu sana kujadili Carina Ti/ Rav 4 Old model 1990!
Jman sasa hivu tunaangalia SUV AMBAYO inayotumia mafuta vizur zaid N iwe durable.
Mambo ya kujadili gar za miaka ya nyima zishapitw na wakat.
Eti utakta mwanaume anandesha old model Vits, carina, premior ata ukipark somewhere hakuna mtu anapay Attention kwako.Kasheshe utakapokwama sasa let say unahitaj mkopo wa dharula then unawega gar dhamana ndipo utakapojua kuwa gari unayomiliki ni ya kibwege.
Zungumzien SUV CARS kama hizi na zinginezoView attachment 1970427View attachment 1970428View attachment 1970429View attachment 1970430
Carina ni more expensive than probox kutokana na factor nyingi,na hata resale value ya Carina ni kubwa kuliko probox.In terms ya urahisi katika kuuza,Carina inapendelewa sana sokoni kuliko Probox.Si bora probox sasa... Tatizo haujanielewa
Kama unaongelea uhalisia you are wrong,kwa mfano-Gari kama Carina Ti,ingawa ni very old lakini ni gari rahisi sana kuuzika sokoni na resale value yake ni stable sana. Extrovert can share some experiences on this perspective regarding Carina TiYani ni uzembe wa hali ya juu sana kujadili Carina Ti/ Rav 4 Old model 1990!
Jman sasa hivu tunaangalia SUV AMBAYO inayotumia mafuta vizur zaid N iwe durable.
Mambo ya kujadili gar za miaka ya nyima zishapitw na wakat.
Eti utakta mwanaume anandesha old model Vits, carina, premior ata ukipark somewhere hakuna mtu anapay Attention kwako.Kasheshe utakapokwama sasa let say unahitaj mkopo wa dharula then unawega gar dhamana ndipo utakapojua kuwa gari unayomiliki ni ya kibwege.
Zungumzien SUV CARS kama hizi na zinginezoView attachment 1970427View attachment 1970428View attachment 1970429View attachment 1970430
Unajua kila mtu anakuwa na mapenzi na kitu flan haijalishi kimepitwa na wakati kwa kiasi gani ila yeye akiwa nacho au akikiona anakuwa na amani na furaha....Yani ni uzembe wa hali ya juu sana kujadili Carina Ti/ Rav 4 Old model 1990!
Jman sasa hivu tunaangalia SUV AMBAYO inayotumia mafuta vizur zaid N iwe durable.
Mambo ya kujadili gar za miaka ya nyima zishapitw na wakat.
Eti utakta mwanaume anandesha old model Vits, carina, premior ata ukipark somewhere hakuna mtu anapay Attention kwako.Kasheshe utakapokwama sasa let say unahitaj mkopo wa dharula then unawega gar dhamana ndipo utakapojua kuwa gari unayomiliki ni ya kibwege.
Zungumzien SUV CARS kama hizi na zinginezoView attachment 1970427View attachment 1970428View attachment 1970429View attachment 1970430
Hebu onyesha ya kwako uliyonunua..na kumbe unanunua gari kwa ajili ya attention?Yani ni uzembe wa hali ya juu sana kujadili Carina Ti/ Rav 4 Old model 1990!
Jman sasa hivu tunaangalia SUV AMBAYO inayotumia mafuta vizur zaid N iwe durable.
Mambo ya kujadili gar za miaka ya nyima zishapitw na wakat.
Eti utakta mwanaume anandesha old model Vits, carina, premior ata ukipark somewhere hakuna mtu anapay Attention kwako.Kasheshe utakapokwama sasa let say unahitaj mkopo wa dharula then unawega gar dhamana ndipo utakapojua kuwa gari unayomiliki ni ya kibwege.
Zungumzien SUV CARS kama hizi na zinginezoView attachment 1970427View attachment 1970428View attachment 1970429View attachment 1970430
Wazi kabisa yani kuna Range Rovers za 2014 ziko barabarani ni namba C unakuta ila chuma imesimama ila by the time jamaa alinunua ikiwa 0 kms! Atakaenunua model hio mwaka 2021 ataipata kwa DXZ ila ni gari ambayo tayari ilikuwapo road toka imeanza production year!Unajua kila mtu anakuwa na mapenzi na kitu flan haijalishi kimepitwa na wakati kwa kiasi gani ila yeye akiwa nacho au akikiona anakuwa na amani na furaha....
Tukisema twende na wakati kwa kumiliki vitu vya kisasa nadhani watu wengi sana tutafeli,. Mfano mdogo ni kwamba kuna watu wachache sana hapa bongo wanamiliki gari ambazo zina miaka 4 tangu zitoke kiwandani.......
Ukiangalia gari kama Alphard nyingi ni namba "D" lakini zilikuwepo sokoni kipindi ambapo hapa bongo tulikuwa kwenye namba "B" au "C" kama skosei lakini watu wengi hawakuwa na uwezo nazo!
Inapendelewa kwa sababu ya mind kama hizi zilizoashisha uzi huuCarina ni more expensive than probox kutokana na factor nyingi,na hata resale value ya Carina ni kubwa kuliko probox.In terms ya urahisi katika kuuza,Carina inapendelewa sana sokoni kuliko Probox.
🤣 🤣 🤣 In fact Watu huwa hawapangiwi preferences,bali hujipangia wenyewe kwendana na mahitaji yao and other unique factors.The reality ni kwamba 70 plus percent ya magari yanayotembea Tanzania ni ya miaka ya nyuma,and the rest percentage wengi ni well off. This is not about mindset sometimes;i'ts all about capacity.Inapendelewa kwa sababu ya mind kama hizi zilizoashisha uzi huu
Hupangiwi ila kuna kushauriwa, kuelimishwa kisha kuamua... Maamuzi bora ni yale yaliyopitia hizi stage!🤣 🤣 🤣 In fact Watu huwa hawapangiwi preferences,bali hujipangia wenyewe kwendana na mahitaji yao and other unique factors.The reality ni kwamba 70 plus percent ya magari yanayotembea Tanzania ni ya miaka ya nyuma,and the rest percentage wengi ni well off. This is not about mindset sometimes;i'ts all about capacity.
jxt only good fuel economy na spare parts zake bei chee na bado inauimara ilo tu gari la watu wa uchumi wa ka2aida wanaweza mudu kutumia bila kuumiaHabari wakuu, nimeona watu wengi sana wanaisifia hii gari lakini najiuliza kwanini haitumiki kwenye uber na Bolt ijapokuwa inatumia mafuta k
Sprinter ni corolla karibu 98%Ongezea na Toyota Sprinter...
IST 1500Cc natembea 20/Lita kwa highway, mpaka mwenyewe sijaamini aisee.Zina Cc sawa na IST lakini hazina hazina engine sawa.
Hiyo engine ya IST kwa Cc hizo inatumia mafuta vizuri kuliko ya carina sababu ya technology mbalimbali ambazo ni za kisasa zilizopo kwenye IST.
Kuna IST zinakupa mpaka 18km kwa lita. Kitu ambacho huwezi pata kwenye Carina.
Mkuu wewe level nyingine, royal class au sio, eti mkuu si bora hata mie mwenye kirikuu mitsubishi mini cab cc 650 hahahhYani ni uzembe wa hali ya juu sana kujadili Carina Ti/ Rav 4 Old model 1990!
Jman sasa hivu tunaangalia SUV AMBAYO inayotumia mafuta vizur zaid N iwe durable.
Mambo ya kujadili gar za miaka ya nyima zishapitw na wakat.
Eti utakta mwanaume anandesha old model Vits, carina, premior ata ukipark somewhere hakuna mtu anapay Attention kwako.Kasheshe utakapokwama sasa let say unahitaj mkopo wa dharula then unawega gar dhamana ndipo utakapojua kuwa gari unayomiliki ni ya kibwege.
Zungumzien SUV CARS kama hizi na zinginezoView attachment 1970427View attachment 1970428View attachment 1970429View attachment 1970430
Behaviourist kuna mtu anatutafuta ugomvi huku 😂Yani ni uzembe wa hali ya juu sana kujadili Carina Ti/ Rav 4 Old model 1990!
Jman sasa hivu tunaangalia SUV AMBAYO inayotumia mafuta vizur zaid N iwe durable.
Mambo ya kujadili gar za miaka ya nyima zishapitw na wakat.
Eti utakta mwanaume anandesha old model Vits, carina, premior ata ukipark somewhere hakuna mtu anapay Attention kwako.Kasheshe utakapokwama sasa let say unahitaj mkopo wa dharula then unawega gar dhamana ndipo utakapojua kuwa gari unayomiliki ni ya kibwege.
Zungumzien SUV CARS kama hizi na zinginezoView attachment 1970427View attachment 1970428View attachment 1970429View attachment 1970430
We unamiliki lipi hapo ?? Acha ushamba dogo we ni jinsia gani KwanzaYani ni uzembe wa hali ya juu sana kujadili Carina Ti/ Rav 4 Old model 1990!
Jman sasa hivu tunaangalia SUV AMBAYO inayotumia mafuta vizur zaid N iwe durable.
Mambo ya kujadili gar za miaka ya nyima zishapitw na wakat.
Eti utakta mwanaume anandesha old model Vits, carina, premior ata ukipark somewhere hakuna mtu anapay Attention kwako.Kasheshe utakapokwama sasa let say unahitaj mkopo wa dharula then unawega gar dhamana ndipo utakapojua kuwa gari unayomiliki ni ya kibwege.
Zungumzien SUV CARS kama hizi na zinginezoView attachment 1970427View attachment 1970428View attachment 1970429View attachment 1970430
Injini ya carina ya cc 1490 na injini ya ist ya cc 1490 zinatofauziana ulaji wa mafuta.. sababu hasa ni mfumo wa VVT-I
Kwa hiyo probox inaweza kutumia mafuta vizuri zaidi ya carina TI kutokana na teknolojia iliyotumika humo?
Hapo kwenye murano hapo embu fanya utafiti tena.Exact.
Hata dualis ya Cc2000 inatumia mafuta vizuri kuliko carina.
Hata murano la Cc2500 ukilikuta zima linatumia mafuta vizuri kuliko Carina.
Hapo kwenye murano hapo embu fanya utafiti tena.