Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,197
kaka abdul nimekumiss,umeadimika ktk macho yangu,nafurahi kukuona tena kaka yangu,hopefuly hujambo kaka.
Du we cheusi, mbaona unawatega watu. Sasa unaanza kumuita abdul kaka, ina maana hutaki na yeye aanze kukutongoza. Usizibie watu kwa heshima kubwa kupita kiasi.