wakusepa
Member
- Jan 24, 2013
- 83
- 5
Habarini wana jamvi
Naombeni wana jf mnipatie mfano wa mtu ambaye aliwahi kuwa chuo kisha kuwa sponsored na heslb kwa bahat mbaya aka disco na baadae akaamua kuomba chuo tena na kupata pamoja na mkopo pasipo kudaiwa ule wa kwanza.Kama ww uliwahi kuwa mhanga au una ndugu yalimsibu haya tafadhali tujuzane hapa
Naombeni wana jf mnipatie mfano wa mtu ambaye aliwahi kuwa chuo kisha kuwa sponsored na heslb kwa bahat mbaya aka disco na baadae akaamua kuomba chuo tena na kupata pamoja na mkopo pasipo kudaiwa ule wa kwanza.Kama ww uliwahi kuwa mhanga au una ndugu yalimsibu haya tafadhali tujuzane hapa