Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,063
i am considering your proposal vere siriasly.Na utaipata. nilikuambia achana na hivi vijukuu turudiane ukasema Mamndenyi umezeeka. ngoja sasa uone moto wa dogodogo.
i am considering your proposal vere siriasly.Na utaipata. nilikuambia achana na hivi vijukuu turudiane ukasema Mamndenyi umezeeka. ngoja sasa uone moto wa dogodogo.
nilijua sii bure kuna namna.Yani nakwambiaje,
Rutta nimemuweka hapa,
haongei wala hafurukuti.
Na haniachi ng'oo.
Nimeogea Jimbo la Kwe Shemahonga.
Ha ha ha ha.
Utajiju.
Nimemlisha vinono,
Vyateleza kama konokono,
Ala alala unono,
Fumbate yangu mikono,
nitonye,Limbwata siku hzh limepitwa na wakati,japo siku mojamoja lazima nimstue nalo,c unajua bila hili mtatuwekea msururu?
The secretary,naomba unilishe limbwata.
The secretary,naomba unilishe limbwata.
Hahahahahahaha! Kwani kama siyo kweli kwanini walalamika shem langu la ukwenhe?
Too bad gfsowin anauguza na Zinduna kaishia wapi sijui namkabidhi hii kazi Madame B naomba unifundie mume kaniudhi kwenye ule uzi wa lofa mmoja anajiita somebody utumbo
hahaaaaaa wapi zinduna jamani watu tushajifunga kanga tayari kusuta mtuToo bad gfsowin anauguza na Zinduna kaishia wapi sijui namkabidhi hii kazi Madame B naomba unifundie mume kaniudhi kwenye ule uzi wa lofa mmoja anajiita somebody utumbo