Jaslaws
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 6,016
- 5,284
Heshima mbele wana bodi..tarehe 10 kutakua na madaharo wa katiba mpya,na utakua live itv na star tv kama mambo hayata badilika,nitakua mmoja kati ya wachangiaji,hivyo kwa kutambua uwepo wa jf kama kuna mwnye mchango/mawezo naomba tuya list hapa kwa niaba ya jf nitayawasilisha.karibu sana.nawasilisha..