Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 55,093
- 54,317
Nyumba za kupanga lawama, ukimwambia mmeo ndugu yake asije hapo unaanza kuonekana kuwa unamchukia.
umenikumbusha kuna mzee mmoja akiombwa lift huwa anauliza kutoka hapa mpaka huko unapoenda tsh ngapi then anachomoa hela. yaani huyo akilipiwa guest siku moja tu harudii tena kudandia godoro la housegirl.
Siku nyingine akija mlipieni guest siju 3 zijiisha asepe au aendelee kulipia mwenyewe
Inashangaza mtu mzima unaacha nyumba yako kwenda kulala sebukeni kwa mwenzio..hata kama ni ndugu yako....tena kama huna dili lolote linalokupeleka huko
Mkishindwa vunjeni ukimya
Halafu mie sielewi mwanaume anaacha nyumba yake anaenda kuosha macho kwa mdogo wake then analala sebuleni.... mkewe nyumbani sijui analala na nani
Bikira Bado ipo?
hapo chacha! Kuna kabila flani ndo zao kujazana kwa mtu. Wapo radhi wabanane seblen.
Hahahahahaaaa.... subiri nikatizame kama ipo!!!
Mwambie mumeo apige marufuku wageni wote wa kulala, waje kutembea tu.
Angekuwa kwangu ningemwambia ukija mjini hulali kwangu, tafuta pa kulala
Unamaana akubali wageni wa show time kulala hataki