Bibie Karucee kwa kweli sitokusahau, nimeiona PM yako ulionitumia jana kwa kweli
Nimejifunza kitu muhimu sana kutoka kwako, wachache sana wenye uwezo kama wako.
Hivi wewe umesomea nchi gani hapa ulimwenguni?! Maana una elimu kweli.
Naomba uwe unaendelea kunipa mazoezi ya Elimu kwa PM, ila tatizo siku hizi umekuwa mvivu yaani mara tatu kwa wiki, zamani ulikuwa unanifundisha kila siku.
Najua nimetoka nje ya mada ili nimekuona upo hewani ndio nikaamua kukufahamisha nimeiona PM yako.
Wee mkali
Una mtoto mdogo?maana chumba na sebule msichana wa nini?
So what?Majigo yule ni kaka yake sasa nikimwambia wasijeona labda sipendi ndugu si unajua moyo wa mtu ndugu?
Tuko kwa mchakato wa kutafuta iyo nyumba kubwa pia so ngoja tu nijikaze na roho yangu
So what?
Achana na kufa kiofisa,leo anakuja mwenyewe unaumia moyoni kesho atakuja na mkewe na watoto!
Ongea na mumeo best,muulize yeye anaonaje hiyo tabia ya kaka yake? Akijifanya haoni tatizo muorodheshee yote unayoyaona.
Next time akija hapo iwe msosi na story tu,kulala aende guest tena kwa gharama zake!!!
Nilisahau, ndo maana nilipoona mchango wake nikakumbuka.ingependeza zaid kama ungemwandikia huko huko PM "
I am only responsible for what i write not what you understand from my writings!Hayo maneno mekundu maana yake nini?
Nilisahau, ndo maana nilipoona mchango wake nikakumbuka.
Nimekuelewa mkuu sawa
Ivi na uyo kaka mtu apo kwa mdgo wake kila Siku anaenda kufanya nini.Ndugu Mashemaji wengine kero.
Mpenzi una akili kama yangu nami nimemuuliza hapo juu hajajibu.
Anaachia kujiachia kujazana jazana na kujibana
Siku nyingine akija mlipieni guest siju 3 zijiisha asepe au aendelee kulipia mwenyewe
Inashangaza mtu mzima unaacha nyumba yako kwenda kulala sebukeni kwa mwenzio..hata kama ni ndugu yako....tena kama huna dili lolote linalokupeleka huko
Mkishindwa vunjeni ukimya
I am only responsible for what i write not what you understand from my writings!