Naombeni maoni

Enzi hizo facebook niliwahi kutongozana na dem wangu kwa account fake,ye anatumia fake na mimifake,tulivyofall in love kwa account fake acha tu,kuja kugunduana tukapeana vibuti roho safi
 

tujibu kwa umakin pumba kama hizi?
Peleka kwa watoto wenzako kisa umejifunza kupost ndio unatuletea utumbo wa nguruwe.

Acha kujaza server bure nyau ww
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…