Naombeni kupata muongozo wa kufanya programming

makaburi

New Member
Jul 13, 2017
4
1
Habari wadau,

Naombeni kupata muongozo wa kufanya coding from scratch/beginner. Niko na nia ya kuwa programmer na anzia wapi ndugu zangu, umri 35yrs self taught ama chuo. Nipeni maoni kuhusu forum gani na kama kuna gurus humu wanipe strategies.
 
Njia nzuri kabisa nakupa..Kwanza nikuweke wazi tu kama ndio unaanza achana na mawazo ya kupata hela kabisaa..yani kama unafikiri ukijua code ndio utapata pesa basi tafta mambo mengine ya kufanya

Pili,Muda ndio mtaji mkubwa ikifatiwa na Practise za kutosha..kama kwa siku itabidi upate walau masaa 3-5 ya kujifunza coding..yapo mengi lakini niishie hapo twende kwenye kiini

RoadMap
Binafsi nilijaribu sana kufanya coding miaka ya zamani.ila nikakosa roadmap nzuri..Kila kitu unaona kinalipa Unatamani Web developer uwe wewe App developer uwe wewe ,Hacker uwe wewe..hii inaishia kuruka na kuacha vitu..

Point yangu ni kwamba
Kwanza Jitambue unataka ufanye nini kwenye programming.maana ni uwanja mpana sana..unaweza kuwa Web developer,App dev,UI/UX,Data science n.k n.k ukishachagua hapo sasa ndo utaanza safari kwa vitendo

*No matter unataka niche gani lakini anza na simple web apps hapa utasona
1.HTML
2.CSS
3.Javascript (juu juu)

Ukishazijua hizi basi utaweza kusoma language nyingine na framework bila shida sana.

Unaweza kuendelea na
4.PHP
5.React js,Next.js
6.Laravel ila haya yote lazima ujue javascript hata basics tu

Ukishamaliza web dev unaweza kuendelea na App dev hapa usome Flutter,java au Kotlin

Pakusomea?
Inategemeana na tutorial uzipendazo kama ni Video au document ni wewe tu
Kwa video youtube zipo nyingi sana kuna
1.FreeCodeCamp
2.Travis Media.
3.Code with T.
4.Ninja dev

Na wengine wengi..uzuri wa hizi tutorial wanafanya kwa vitendo So unaweza kuwa unawafatilizia kila kitu wafanyacho apo utapata idea tu
 
Self taught inatosha...

Nakushauri ujifunze Python inatosha sana. Ni mbadala wa kila kitu, na Artificial Intelligence yote imelala hapo. Ukija kwenye mambo yetu ya trading, napo unaweza itumia kutengeneza trading robot. Kama wewe ni resecher napo iko bomba...
Wewe tu mkuu
 
Njia nzuri kabisa nakupa..Kwanza nikuweke wazi tu kama ndio unaanza achana na mawazo ya kupata hela kabisaa..yani kama unafikiri ukijua code ndio utapata pesa basi tafta mambo mengine ya kufanya

Pili,Muda ndio mtaji mkubwa ikifatiwa na Practise za kutosha..kama kwa siku itabidi upate walau masaa 3-5 ya kujifunza coding..yapo mengi lakini niishie hapo twende kwenye kiini

RoadMap
Binafsi nilijaribu sana kufanya coding miaka ya zamani.ila nikakosa roadmap nzuri..Kila kitu unaona kinalipa Unatamani Web developer uwe wewe App developer uwe wewe ,Hacker uwe wewe..hii inaishia kuruka na kuacha vitu..

Point yangu ni kwamba
Kwanza Jitambue unataka ufanye nini kwenye programming.maana ni uwanja mpana sana..unaweza kuwa Web developer,App dev,UI/UX,Data science n.k n.k ukishachagua hapo sasa ndo utaanza safari kwa vitendo

*No matter unataka niche gani lakini anza na simple web apps hapa utasona
1.HTML
2.CSS
3.Javascript (juu juu)

Ukishazijua hizi basi utaweza kusoma language nyingine na framework bila shida sana.

Unaweza kuendelea na
4.PHP
5.React js,Next.js
6.Laravel ila haya yote lazima ujue javascript hata basics tu

Ukishamaliza web dev unaweza kuendelea na App dev hapa usome Flutter,java au Kotlin

Pakusomea?
Inategemeana na tutorial uzipendazo kama ni Video au document ni wewe tu
Kwa video youtube zipo nyingi sana kuna
1.FreeCodeCamp
2.Travis Media.
3.Code with T.
4.Ninja dev

Na wengine wengi..uzuri wa hizi tutorial wanafanya kwa vitendo So unaweza kuwa unawafatilizia kila kitu wafanyacho apo utapata idea tu
Mmmh mkuu... kwanini usimuambie ajifunze Python tu... naona umeingia deep sana kwenye programming
 
Mmmh mkuu... kwanini usimuambie ajifunze Python tu... naona umeingia deep sana kwenye programming
Mbona hapo ndo penyewe alipomwelekeza...!?, mi mwenyewe ndo njia nayopitia, nilianza na HTML,CSS na JavaScript nimeamua kuwa deep kabisa, ndo nimezama kwenye reactjs saivi, nkimaliza hapo naendelea na Next m, Express then Database.
 
Mbona hapo ndo penyewe alipomwelekeza...!?, mi mwenyewe ndo njia nayopitia, nilianza na HTML,CSS na JavaScript nimeamua kuwa deep kabisa, ndo nimezama kwenye reactjs saivi, nkimaliza hapo naendelea na Next m, Express then Database.
Sada mkuu kama utajifunza SQL baada ya backend sasa data zako un save wapi?
Wanasema eti php ku host web ni cheap kuna ukweli hapa au ni watu wanapenda tu kukaza fuvu
python hosting ni expensive sana ni sawa na rails kwa maanda database opo separate kama utatumia postgresql in range 7USD - 24USD, static storange per month ni 5USD , VM Instance ni kama 25USD per month kama huna hela nenda na php, python django ni kwaajili ya production kwenye firms
 
Sada mkuu kama utajifunza SQL baada ya backend sasa data zako un save wapi?

python hosting ni expensive sana ni sawa na rails kwa maanda database opo separate kama utatumia postgresql in range 7USD - 24USD, static storange per month ni 5USD , VM Instance ni kama 25USD per month kama huna hela nenda na php, python django ni kwaajili ya production kwenye firms
Asante, naona sasa itabidi kumbe ni ingie Database mkuu, asante sana.
 
La kuongezea, unapokua unajifunza kwa kupitia video, hakikisha unaangalia video yote kwanza kwa umakini bila kufatisha anachofanya practically. Hapo utapata picha tutor kitu gani anajaribu ku achieve/kuongelea, ukishapata idea then rudia video kwa kufatisha anachofanya.
Lakini akiwa anatype wewe una pause video then na wewe unatype(code) ni vigumu sana kuelewa anachofanya kwa beginner.
 
Njia nzuri kabisa nakupa..Kwanza nikuweke wazi tu kama ndio unaanza achana na mawazo ya kupata hela kabisaa..yani kama unafikiri ukijua code ndio utapata pesa basi tafta mambo mengine ya kufanya

Pili,Muda ndio mtaji mkubwa ikifatiwa na Practise za kutosha..kama kwa siku itabidi upate walau masaa 3-5 ya kujifunza coding..yapo mengi lakini niishie hapo twende kwenye kiini

RoadMap
Binafsi nilijaribu sana kufanya coding miaka ya zamani.ila nikakosa roadmap nzuri..Kila kitu unaona kinalipa Unatamani Web developer uwe wewe App developer uwe wewe ,Hacker uwe wewe..hii inaishia kuruka na kuacha vitu..

Point yangu ni kwamba
Kwanza Jitambue unataka ufanye nini kwenye programming.maana ni uwanja mpana sana..unaweza kuwa Web developer,App dev,UI/UX,Data science n.k n.k ukishachagua hapo sasa ndo utaanza safari kwa vitendo

*No matter unataka niche gani lakini anza na simple web apps hapa utasona
1.HTML
2.CSS
3.Javascript (juu juu)

Ukishazijua hizi basi utaweza kusoma language nyingine na framework bila shida sana.

Unaweza kuendelea na
4.PHP
5.React js,Next.js
6.Laravel ila haya yote lazima ujue javascript hata basics tu

Ukishamaliza web dev unaweza kuendelea na App dev hapa usome Flutter,java au Kotlin

Pakusomea?
Inategemeana na tutorial uzipendazo kama ni Video au document ni wewe tu
Kwa video youtube zipo nyingi sana kuna
1.FreeCodeCamp
2.Travis Media.
3.Code with T.
4.Ninja dev

Na wengine wengi..uzuri wa hizi tutorial wanafanya kwa vitendo So unaweza kuwa unawafatilizia kila kitu wafanyacho apo utapata idea tu
Mbona isiwe python ndo language ya kwanza mkuu. Ushauri wako
 
La kuongezea, unapokua unajifunza kwa kupitia video, hakikisha unaangalia video yote kwanza kwa umakini bila kufatisha anachofanya practically. Hapo utapata picha tutor kitu gani anajaribu ku achieve/kuongelea, ukishapata idea then rudia video kwa kufatisha anachofanya.
Lakini akiwa anatype wewe una pause video then na wewe unatype(code) ni vigumu sana kuelewa anachofanya kwa beginner.
Kweli mkuu self taught beginner sio poa . unaweza kukata tamaa mapema
 
Kumbe hujui kama inawezekana kutumia python kutengeneza website??
Najua inawezekana na kila mtu ananjia yake kwenye hii game..So mimi nimeona muongozo mzuri ni kuanza na Html,css,js ambayo ndio njia hata mabibu walianza nayo.huwezi kuanza kumfundisha mtu Data type,Var na takataka nyingine wakat hajui hata website inafanyaje kazi
 
Najua inawezekana na kila mtu ananjia yake kwenye hii game..So mimi nimeona muongozo mzuri ni kuanza na Html,css,js ambayo ndio njia hata mabibu walianza nayo.huwezi kuanza kumfundisha mtu Data type,Var na takataka nyingine wakat hajui hata website inafanyaje kazi
Ni sawa mkuu, lakini bado ni maoni yako, kuna wengine na sisi tunaona tofauti
 
Back
Top Bottom