kama mwaka mmoja iviMmmh ishara si nzuri...muda gani mko pamoja?
Bf wangu amekuwa na tabia ya kukaa kimya znaweza pita hata cku mbili, akija kuku2mia sms kama anam2mia dada yake vile, je kuna jipya hapa nalingoja?
Ushauri jamani naombeni co vjembe...
Ilikuwa haipiti cku hajanipigia au kum2mia sms,Mchunguze...............na je hapo awal mawasiliano yalikuwaje?
Ameanza hv karibuni baada ya kurudi likizo kwaoni mara ngapi anafanya hvyo,au ni kwa muda gan umeona hlo likijitokeza!
Ameanza hv karibuni baada ya kurudi likizo kwao
Mchunguze...............na je hapo awal mawasiliano yalikuwaje?
Thanx! Ntajitahd nmchunguze...Mwaka wote mkiwa ktk mahusiano mna mpango gn?jitahid kumsoma maana yanaumiza sn haya mapenz km hujawa makin coz ww unaweza ukawa unaXpect kitu fulan alafu ikawa tofauti.Kaa chin umchunguze huyo mtu then utajua tuu.Maji na mafuta havichangamani.
Ameanza hv karibuni baada ya kurudi likizo kwao
kama mwaka mmoja ivi
asajili tu hata kwa mkopo..keshaliwa hivookama ulifunga dirisha dogo la usajili lifungue tu.....