kikoozi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2015
- 2,030
- 2,929
Naombeni kuuliza, pumu ni ugonjwa wa kurithi?, mwanamke mwenye pumu anweza kuzaa watoto wote wenye pumu? kama sio ugonjwa wa kurithi ikitokea mtoto wa kike akazaliwa na pumu kwenye familia yake na wenzake hawana je akija kuolewa uyu mwenye pumu ni madhara gani anaweza kwenda kuyasababisha kwenye familia ambayo ataenda kuianzisha?
Asanteni
Asanteni