Jitihada Senior Member Feb 6, 2011 155 10 Jun 15, 2011 #1 Bila shaka muwazima wana-janvi? Naombeni mnijuze bei ya external harddisk mpya ya uwezo kama wa 200GB. Kwasasa inaweza kuuzwa bei gani?
Bila shaka muwazima wana-janvi? Naombeni mnijuze bei ya external harddisk mpya ya uwezo kama wa 200GB. Kwasasa inaweza kuuzwa bei gani?
Genekai R I P Feb 9, 2010 12,517 4,987 Jun 15, 2011 #3 inategemea ni aina gani, ukitaka hp 250gb wanauza 4500kshs, transjet 160 gb nimenunua 5300kshs pale Nairobi ila bongo sijui!
inategemea ni aina gani, ukitaka hp 250gb wanauza 4500kshs, transjet 160 gb nimenunua 5300kshs pale Nairobi ila bongo sijui!
Jitihada Senior Member Feb 6, 2011 155 10 Jun 15, 2011 Thread starter #4 MTM said: unataka ya aina gani? Click to expand... nataka hp au yoyote yenye ubora.
Jitihada Senior Member Feb 6, 2011 155 10 Jun 15, 2011 Thread starter #5 genekai said: inategemea ni aina gani, ukitaka hp 250gb wanauza 4500kshs, transjet 160 gb nimenunua 5300kshs pale Nairobi ila bongo sijui! Click to expand... ipi nzuri kati ya hizo kwa mujibu wa wewe?
genekai said: inategemea ni aina gani, ukitaka hp 250gb wanauza 4500kshs, transjet 160 gb nimenunua 5300kshs pale Nairobi ila bongo sijui! Click to expand... ipi nzuri kati ya hizo kwa mujibu wa wewe?
Kalunguine JF-Expert Member Jul 27, 2010 2,543 134 Jun 15, 2011 #6 laki moja tu, unapata 320GB with 1year warranty
Jitihada Senior Member Feb 6, 2011 155 10 Jun 15, 2011 Thread starter #7 touchlife said: laki moja tu, unapata 320GB with 1year warranty Click to expand... aina gani hiyo?