M mapambio Member Apr 16, 2011 29 0 Apr 23, 2011 #1 ...Naomba kuingia wajamen...samahani kwa kuombea nikiwa ndani!
Babkey JF-Expert Member Dec 10, 2010 4,835 3,657 Apr 23, 2011 #2 Usiwe na shaka wangu. Karibu sana kijiweni. We ni muhimu sana.
jockey emmanuel JF-Expert Member Mar 23, 2011 330 50 Apr 23, 2011 #7 karibu sana endelea ku-participate in JF....pamoja sana