Naombeni kazi wakuu

Naombeni kazi wakuu

Kazi ya Shamba kuhudumia Mifugo na Usafi wa Mabanda
Mshahara : 100,000
Chakula na Malazi ni Juu ya Muajiri

ukiona uko interested njoo inbox siku na saa yoyote hata kama uko na wenzako 10 wote njooni kazi ipo na mtapata sehemu za kuishi na chakula na afya yenu itakua juu ya muajiri.

Vigezo :

Uwe na wadhamini wawili wenye makazi ya Kudumu wenye namba za Nida
wewe Pia uwe na Barua ya utambulisho toka serikali ya mtaa

Eneo la Kazi ni TANZANIA (Utaenda mkoa wowote ndani ya TZ utakaopangiwa so kuwa tayari na hilo)

Asante
 
Kazi ya Shamba kuhudumia Mifugo na Usafi wa Mabanda
Mshahara : 100,000
Chakula na Malazi ni Juu ya Muajiri

ukiona uko interested njoo inbox siku na saa yoyote hata kama uko na wenzako 10 wote njooni kazi ipo na mtapata sehemu za kuishi na chakula na afya yenu itakua juu ya muajiri.

Vigezo :

Uwe na wadhamini wawili wenye makazi ya Kudumu wenye namba za Nida
wewe Pia uwe na Barua ya utambulisho toka serikali ya mtaa

Eneo la Kazi ni TANZANIA (Utaenda mkoa wowote ndani ya TZ utakaopangiwa so kuwa tayari na hilo)

Asante
Mifugo gani mkuu
 
Kazi ya Shamba kuhudumia Mifugo na Usafi wa Mabanda
Mshahara : 100,000
Chakula na Malazi ni Juu ya Muajiri

ukiona uko interested njoo inbox siku na saa yoyote hata kama uko na wenzako 10 wote njooni kazi ipo na mtapata sehemu za kuishi na chakula na afya yenu itakua juu ya muajiri.

Vigezo :

Uwe na wadhamini wawili wenye makazi ya Kudumu wenye namba za Nida
wewe Pia uwe na Barua ya utambulisho toka serikali ya mtaa

Eneo la Kazi ni TANZANIA (Utaenda mkoa wowote ndani ya TZ utakaopangiwa so kuwa tayari na hilo)

Asante
Kazi ngumu za shamba utakaa kambini pale mtibwa bure kabisa ,kiwanda cha miwa mshahara kwa mwezi 240000 kwa siku 8000 ukisaini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom