- Thread starter
- #21
Kwani wakishinda wewe Kuna fungu unalipata?ikifungwa atafaidika na nini? sijamuelewa, eti antonnia
Kwani wakishinda wewe Kuna fungu unalipata?ikifungwa atafaidika na nini? sijamuelewa, eti antonnia
Takbiir Mwanakondoo ameshindaAtafungwa
Yes, tarehe 9 december nitakufa (tarehe 8 December nitaleta Uzi humu wa kuwaageni waungwana wa JF maana tarehe 9 december nitapigwa risasi nife nikaungane na comrades wenzangu waliotangulia mbinguni October 29, nahisi roho yangu itapumzika kwa amani)Kwanza mtoa post unatakiwa tarehe 9 ufe na uzikwe.
Kuhusu YANGA ukipambana nayo utakunyia moto na kubabuka makalio..
mtateseka sana hadi mkiwa makaburini.
na wakifungwa wewe kuna fungu unalipata?Kwani wakishinda wewe Kuna fungu unalipata?
Akifingwa napata amani/nafarijikana wakifungwa wewe kuna fungu unalipata?
anyway, wewe uzeeni lazima uje kuwa mchawi
😂😂😂Nafurahi sana navyosikia takwimu nzuri kama hizi. Barikiwa sana Sheikh MtumishiFar rabat iko imara misim hii 2.
Msim uliopita walitolewa na pyramids robo fainal CAF.
As it stand wako nafas ya pil nyuma ya Wydad ligi ya Botola Morocco.
Unbeaten kwenye mechi 16 za mashindano yote. Draw ziko 5.
(Including home and away).
Mara ya mwisho walipoteza dhid ya Wydad may 3, 2025.
Ukweli usemwe.
Yanga wana group gumu sana.
Kutoboa makund inahitaj washinde mech ya leo. Wakitoa hata draw tu imekula kwao.
Leo wamekula chuma kimoja cha Prince na izo record zakeFar rabat iko imara misim hii 2.
Msim uliopita walitolewa na pyramids robo fainal CAF.
As it stand wako nafas ya pil nyuma ya Wydad ligi ya Botola Morocco.
Unbeaten kwenye mechi 16 za mashindano yote. Draw ziko 5.
(Including home and away).
Mara ya mwisho walipoteza dhid ya Wydad may 3, 2025.
Ukweli usemwe.
Yanga wana group gumu sana.
Kutoboa makund inahitaj washinde mech ya leo. Wakitoa hata draw tu imekula kwao.
kwahiyo hivi tulivyoshinda umekosa amani kabisaAkifingwa napata amani/nafarijika
Hakuna uchawi mkuu, halafu sitegemei kufika uzeeni maana nitakufa December 9.
Nimechoka ndugu yangu Sina hata hamu ya kuchangia mijadala. Subhanallah Yesu ni mwema!. Ngoja nifocus na December 9 tu hapakwahiyo hivi tulivyoshinda umekosa amani kabisa
inshaallah bwana awe nanyiNimechoka ndugu yangu Sina hata hamu ya kuchangia mijadala. Subhanallah Yesu ni mwema!. Ngoja nifocus na December 9 tu hapa