Salut sana waungwana wa JF.
Awali ya yote kabisa NaDECLAIRE INTEREST, mimi nilikuwa shabiki kindaki ndaki kabisa wa hii timu kongwe hapa nchini, ila kwa sasa soccer la bongo silipendi kabisa. Katika mawazo yangu kwa sasa (come rain, come shine) ni December 9 tu.
Hii timu ya YANGA imenihudhunisha kwa haya yafuatayo ambayo yamepelekea niichukie, kuiombea na kuitakia Kila lililobaya katika michuano ya klabu bingwa afrika.
1. Ilifadhili Tsh 100million kwa CCM ili iue raia wa tanzania
2. Moja kati ya watu walioua vijana alikuwa kavaa jezi ya Yanga😭
3. Klabu ya Yanga kama taasisi haikulaani mauaji ya halaiki ya vijana wa kitanzania ambao waliuwawa kinyama october 29, 2025.
Ee Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema naomba ujalie hii timu ipigwe kipigo Cha aibu na FAR RABAT. AMEN.
Awali ya yote kabisa NaDECLAIRE INTEREST, mimi nilikuwa shabiki kindaki ndaki kabisa wa hii timu kongwe hapa nchini, ila kwa sasa soccer la bongo silipendi kabisa. Katika mawazo yangu kwa sasa (come rain, come shine) ni December 9 tu.
Hii timu ya YANGA imenihudhunisha kwa haya yafuatayo ambayo yamepelekea niichukie, kuiombea na kuitakia Kila lililobaya katika michuano ya klabu bingwa afrika.
1. Ilifadhili Tsh 100million kwa CCM ili iue raia wa tanzania
2. Moja kati ya watu walioua vijana alikuwa kavaa jezi ya Yanga😭
3. Klabu ya Yanga kama taasisi haikulaani mauaji ya halaiki ya vijana wa kitanzania ambao waliuwawa kinyama october 29, 2025.
Ee Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema naomba ujalie hii timu ipigwe kipigo Cha aibu na FAR RABAT. AMEN.