chapakazi878
Member
- Apr 28, 2013
- 20
- 5
Naombeni kujua ni lini jwtz wanachukua intake ya professionals kwa 2013 lini? Kwa taarifa nlizo nazo ila ninashaka nazo, ni kwamba hadi mwezi wa sita. Naombeni ufafanuzi zaidi kama ndivyo au la
JAMAN IVI MTU AKISEMA PROFESSIONAL MPAKA AWE GRADUATE Jaman taswira mbovo iyo na ufahamu pia@MTUBWI si kila professional holder awe graduate ndugu yango unaweza kuwa professional wa kitu hata skuli au chuo haujakanyagaDah!graduates kweli wanapigika kikatili,wote sasa mnaona nafuu ipo jeshini,uzalendo wa nchi upo mashakani sana.
Usijali ndugu yangu mwezi wa sita sio mbali subili bado kidogo tu Utapata uhakika wa jibu na sio majawabu ambayo humu ndani kila mtu atakwambia ajuavyo yeye na watakukatisha tamaaaaaaa sana tu xo my advise to you just wait den you will get a real answer when tyme reachsNaombeni kujua ni lini jwtz wanachukua intake ya professionals kwa 2013 lini? Kwa taarifa nlizo nazo ila ninashaka nazo, ni kwamba hadi mwezi wa sita. Naombeni ufafanuzi zaidi kama ndivyo au la
b0ra mkawe weng wakupelekwa kupambana na m23 na alshabibi
Uliuliza swali lako kabla ya bajeti,sasa leo kama ulifuatilia ni kwamba toka mwaka 2010 hawawajaita tena watu wa nje,so lazima wote wapitie JKT ndo upewe ajira JWTZ na vyombo vyote vya ulizi na usalama pia ndo itakuwa hivyo na wabunge ndo wamependekeza hivyo