Invisible Elly
Member
- Feb 26, 2017
- 49
- 67
Wakuu habari zenu,,, natumai mu wazima na mnaendelea na shughuli za kulijenga Taifa.
Naomba mwenye Audio ya huu wimbo anisaidie kuipata.
"Tazama ramani utaona nchi nzuri,
Yenye mito na mabonde mengi ya nafaka,
Nasema kwa kinywa halafu kwa kufikiri,
Nchi hiyo mashuhuri huitwa Tanzaniaaaaaaaaaa....
Majira yetu haya, yangekuwaje sasa,
Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha.
Chemchem ya furaha amani nipe tumaini,
Kila mara niwe kwako nikiburudika,
Nakupenda sana hata nikakusitiri,
Nitalalamika kukuacha Tanzania. Majira yetu haya, yangekuwaje sasa,
Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha.
Nchi yenye azimio lenye tumaini,
Ndiwe peke yako mwanga wa Watanzania,
Ninakuthamini hadharani na moyoni,
Unilinde name nikulinde hata kufa.
Majira yetu haya, yangekuwaje sasa,
Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha".
Ahsanteni...
Naomba mwenye Audio ya huu wimbo anisaidie kuipata.
"Tazama ramani utaona nchi nzuri,
Yenye mito na mabonde mengi ya nafaka,
Nasema kwa kinywa halafu kwa kufikiri,
Nchi hiyo mashuhuri huitwa Tanzaniaaaaaaaaaa....
Majira yetu haya, yangekuwaje sasa,
Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha.
Chemchem ya furaha amani nipe tumaini,
Kila mara niwe kwako nikiburudika,
Nakupenda sana hata nikakusitiri,
Nitalalamika kukuacha Tanzania. Majira yetu haya, yangekuwaje sasa,
Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha.
Nchi yenye azimio lenye tumaini,
Ndiwe peke yako mwanga wa Watanzania,
Ninakuthamini hadharani na moyoni,
Unilinde name nikulinde hata kufa.
Majira yetu haya, yangekuwaje sasa,
Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha".
Ahsanteni...