mnadhimu mkuu wa jf
JF-Expert Member
- Mar 19, 2017
- 759
- 285
Habari zenu wakuu bila shaka mu wazima wa afya na mlio wagonjwa poleni sana, mm nipo njiani naelekea dodoma hivyo naomba wana Jf wenzangu si vibaya tukionana na kubadilishana mawazo pia kuelezana sehemu nzuri za kutembelea na sehemu mbaya ambazo sipaswi kutembelea Asanteni......