HALELUYA MOSHI
JF-Expert Member
- Aug 14, 2014
- 2,122
- 1,203
Uchafu hausafishwi na uchafu. Sass tunataka watu safi. Kama nchi haina mfumo wa kudhibiti pesa chafu basi ujue tutakuwa na hali ngumu sana kimataifa
Watu safi wako wapi?
Uchafu hausafishwi na uchafu. Sass tunataka watu safi. Kama nchi haina mfumo wa kudhibiti pesa chafu basi ujue tutakuwa na hali ngumu sana kimataifa
Huo ni usanii kama wa kupanda daradara,anataka kujifanya anaomba msaada kumbe ndo anataka kufungua bando za pesa za marafiki zake,
Wajinga wanaona kama ni hoja kumbe matajiri wenzake ndo wanataka kuingia kazini,
Huo ni usanii kama wa kupanda daradara,anataka kujifanya anaomba msaada kumbe ndo anataka kufungua bando za pesa za marafiki zake,
Wajinga wanaona kama ni hoja kumbe matajiri wenzake ndo wanataka kuingia kazini,
Kuna hela wanataka kuiingiza kinamna. Halafu wasingizie wananchi wamechanga. Hilo genge la kaskazini huwa wanajiona wajanja wao. Na vijana wa 'wimbo' wa mabadiliko watadhani hela zilizotangazwa zimechangwa na wao, hivyo wataona wako wengi kwenye 'wimbo' huo. Usanii huu mwisho 25 October.
wa kwenu hauoni
1,kuchukua ardhi ya wananchi adi wanauona,
2,richmond
3,tenda zote alimashauri monduli dada el
4,wizi wa pesa za icc el akiwa mkurungezi wake,
5,wizi wa pesa ujinzi wa nyumba ya mbunge monduli el
6,asilimia 25% kwenye acaunt ya summaye akiwa waziri mkuu,
7,kuwapa watu sumu ili wafe,hayo huyaoni ? Jibu nikupe na wengine,
Na nyie changisheni
Unawashwa wewwKuna hela wanataka kuiingiza kinamna. Halafu wasingizie wananchi wamechanga. Hilo genge la kaskazini huwa wanajiona wajanja wao. Na vijana wa 'wimbo' wa mabadiliko watadhani hela zilizotangazwa zimechangwa na wao, hivyo wataona wako wengi kwenye 'wimbo' huo. Usanii huu mwisho 25 October.
Najiuliza swali kwa mtanzania mwenye akili timamu yupi kati ya Lowassa, Hashimu Rungwe na Magufuli anahitaji kuchangiwa pesa za kampeni?
Ukiangalia mwenendo wa kampeni utaona nani anaitaji msaada, natilia shaka uchangishaji huu usiwe ni usanii wa kuingiza pesa za marafiki wa nje ili kusaidia kampeni zake.
Nakumbusha tukio moja tu kama hilo CHADEMA walishafanya usanii wa kuchangisha pesa kama hizo kwa ajili ya kununua magari badala yake chama cha waliberali ndo kilitoa hayo magari ya m4c, ninaona Lowassa akiwa kwenye usanii mwingine lakini inawezekana liko lengo nyuma ya mpango huu.
pilipili usiyo ila yakuwashia nini tuachieni chama chetu na mikakati yetu hela zetu tunatoa kwa hiali yetu.Najiuliza swali kwa mtanzania mwenye akili timamu yupi kati ya Lowassa, Hashimu Rungwe na Magufuli anahitaji kuchangiwa pesa za kampeni?
Ukiangalia mwenendo wa kampeni utaona nani anaitaji msaada, natilia shaka uchangishaji huu usiwe ni usanii wa kuingiza pesa za marafiki wa nje ili kusaidia kampeni zake.
Nakumbusha tukio moja tu kama hilo CHADEMA walishafanya usanii wa kuchangisha pesa kama hizo kwa ajili ya kununua magari badala yake chama cha waliberali ndo kilitoa hayo magari ya m4c, ninaona Lowassa akiwa kwenye usanii mwingine lakini inawezekana liko lengo nyuma ya mpango huu.
Najiuliza swali kwa mtanzania mwenye akili timamu yupi kati ya Lowassa, Hashimu Rungwe na Magufuli anahitaji kuchangiwa pesa za kampeni?
Ukiangalia mwenendo wa kampeni utaona nani anaitaji msaada, natilia shaka uchangishaji huu usiwe ni usanii wa kuingiza pesa za marafiki wa nje ili kusaidia kampeni zake.
Nakumbusha tukio moja tu kama hilo CHADEMA walishafanya usanii wa kuchangisha pesa kama hizo kwa ajili ya kununua magari badala yake chama cha waliberali ndo kilitoa hayo magari ya m4c, ninaona Lowassa akiwa kwenye usanii mwingine lakini inawezekana liko lengo nyuma ya mpango huu.
Kuna hela wanataka kuiingiza kinamna. Halafu wasingizie wananchi wamechanga. Hilo genge la kaskazini huwa wanajiona wajanja wao. Na vijana wa 'wimbo' wa mabadiliko watadhani hela zilizotangazwa zimechangwa na wao, hivyo wataona wako wengi kwenye 'wimbo' huo. Usanii huu mwisho 25 October.[/
Tulia dawa inaanza kufanya kazi
Hakuna cha kuchangisha ni mbinu ya marafiki zake kufungulia mambando ya pesa za ki fisadi,
Unajua lowasa hana kumbukumbu juzi akiwa muleba amesema anapesa za kusaidia kusomesha watoto adi chuo pasipo kutegemea pesa za serikali Leo hii anaomba msaada? Usanii wa kipuuzi
Tatizo lenu mnakutana na el kwenye mitandao,tunaomjua na kila mbinu YAKE sio wa kuomba msaada ni comed tu,kipato chake kwa siku ni zaidi ya ml600 ,eti anaomba msaada si bora angeweka wazi kuwa anataka marafiki zangu wanipe pesa tu,
Najiuliza swali kwa mtanzania mwenye akili timamu yupi kati ya Lowassa, Hashimu Rungwe na Magufuli anahitaji kuchangiwa pesa za kampeni?
Ukiangalia mwenendo wa kampeni utaona nani anaitaji msaada, natilia shaka uchangishaji huu usiwe ni usanii wa kuingiza pesa za marafiki wa nje ili kusaidia kampeni zake.
Nakumbusha tukio moja tu kama hilo CHADEMA walishafanya usanii wa kuchangisha pesa kama hizo kwa ajili ya kununua magari badala yake chama cha waliberali ndo kilitoa hayo magari ya m4c, ninaona Lowassa akiwa kwenye usanii mwingine lakini inawezekana liko lengo nyuma ya mpango huu.
Rais wa Iraq alikuwa Kanal Mohamed Gadafi,, We unaniuliza maswali Magumu ngoja na mimi nikuulize ,Eti ile meli iliokamatwa kwa Amri ya Magufuli ikivua samaki Bahari ya hindi Upande wa Tanzania iko wapi na Wale jamaa Mahakama ilisema hao jamaa watailipa Nchi yetu Kiasi gani kwa kosa hilo?ok sory sadam alikuwa wa Quweit! Nitajie jina la rais wa Iraq