Naomba uzoefu wa biashara ya uuzaji wa mayai ya kuchemsha

Wakuu nahitaji mnisaidie experience hasa kwenye biashara ya kuuza mayai ya kuchemsha ,nnawazo la biashara hii lakini sijajua changamoto zake na fauda zake kiufupi naomba mnipe madini kuhusiana na biashara hii na mtaji wa kuianzia hii biashara
# ahsanteni
Niliwahi kufanya research kuhusu hii biashara ingawa sikuwahi kufanya. Kwa kweli ni biashara nzuri ila inategemea unatarajia kufanya wewe au utahitaji kuwa na vijana ambao watakua wauzaji kwa niaba yako. Kwa ushauri wangu ni vyema ukaanza kufanya wewe mwenyewe. Siku hizi naona Kuna vikabati wanatengeneza vikiwa na kibaiskeli kama vile Vya Azam halafu Kuna style wanayahifadhi yanakuwa yamoto muda wote unaweza kutafuta wale wanaofanya kwa style hiyo Kaa nao chini zungumza nao naamini hawatokunyima information za kutosha . Kila la kheri
 
Niliwahi kufanya research kuhusu hii biashara ingawa sikuwahi kufanya. Kwa kweli ni biashara nzuri ila inategemea unatarajia kufanya wewe au utahitaji kuwa na vijana ambao watakua wauzaji kwa niaba yako. Kwa ushauri wangu ni vyema ukaanza kufanya wewe mwenyewe. Siku hizi naona Kuna vikabati wanatengeneza vikiwa na kibaiskeli kama vile Vya Azam halafu Kuna style wanayahifadhi yanakuwa yamoto muda wote unaweza kutafuta wale wanaofanya kwa style hiyo Kaa nao chini zungumza nao naamini hawatokunyima information za kutosha . Kila la kheri
Ahsante ,lakin sijaelewa kuhusu hivyo vikabati
 
Sina uzoefu ila ninachofahamu nenda stand hasa za magari yanayoelekea Usukumani au umasaini, utanishukuru baadae.
 
Tafuta population kubwa hasa kwenye stand za mabasi ya uswahilini, Kama upo dar nenda mbagala,
 
Back
Top Bottom