kiri12
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 637
- 555
Habari wanajukwaa!
Naulizia hivi kuna mtu alishawahi kupata kazi katika hii casino? Naomba kufahamishwa maana wamekuwa wakitoa matangazo ya kazi mara kwa mara, na mishahara yao ipoje wanaeleweka ama ndio longolongo tu hapa mjini?
Mwenye kuielewa na ambaye alishawahi kuomba kazi na kupata anisaidie Tafadhali.
Naulizia hivi kuna mtu alishawahi kupata kazi katika hii casino? Naomba kufahamishwa maana wamekuwa wakitoa matangazo ya kazi mara kwa mara, na mishahara yao ipoje wanaeleweka ama ndio longolongo tu hapa mjini?
Mwenye kuielewa na ambaye alishawahi kuomba kazi na kupata anisaidie Tafadhali.