KasomaJr
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 367
- 139
Habari wadau wa JF,
Nataka kuingia kwenye biashara ya mbao, hivyo nahitaji mambo yafuatayo.
1. Utaratibu wa Vibali vya uvunaji-TFS, Serikali za vijiji, Wizara etc.
2. Kampuni inayopaswa kufanya export inahitaji nini na gharama kiasi gani, pia muda wa ku process
3. Changamoto kadhaa ambazo kwa walikwisha kufanya hii business, ili kuona namna ya kukabiliana nazo.
4. Mambo menginey ya msingi ambayo ni muhimu kujua.
Natanguliza shukrani nyingi kwa msaada.
Mwenzenu katika kutafuta maisha
Nataka kuingia kwenye biashara ya mbao, hivyo nahitaji mambo yafuatayo.
1. Utaratibu wa Vibali vya uvunaji-TFS, Serikali za vijiji, Wizara etc.
2. Kampuni inayopaswa kufanya export inahitaji nini na gharama kiasi gani, pia muda wa ku process
3. Changamoto kadhaa ambazo kwa walikwisha kufanya hii business, ili kuona namna ya kukabiliana nazo.
4. Mambo menginey ya msingi ambayo ni muhimu kujua.
Natanguliza shukrani nyingi kwa msaada.
Mwenzenu katika kutafuta maisha