kuna mdada mmoja nimetokea kumpenda tena sana ila ana mimba ya miezi 5 co yangu nimemkuta nayo.kwao ni moro nami niko dar maisha yake ni magumu sana kwani anamtegemea mama yake kwa kila kitu na ina tokea muda mwingine anakosa mlo wa cku,tatizo anataka nimpatie hela atoe hiyo mimba ila uwezo wa kumpatia hela sina,sasa anataka atumie njia ya kienyeji kuitoa na kwa sasa nikimpigia cm hapokei.nifanye nn wana jf