Naomba ushauri

Gidabed

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2023
Posts
699
Reaction score
1,263
Wakuu habari za wakati huu,natumaini mpo salama.

Mtanisamehe,mimi sio mwandishi nzuri.

Wakuu nina changamoto ambao nimeshindwa kulitatua hivyo nahitaji msaada wenu.

Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu hapa Kilimanjaro,nimekuwa nikipitia vipindi vigumu sana kiuchumi,ni mengi ninayapitia.

Changamoto niliyonayo ni kuishiwa hela ya kodi ya chumba ambayo ni 150k(room ni 50k/month) na utaratibu ni kulipia kila baada ya miezi mitatu.

Na kodi ilishaisha juzi na mwenye nyumba aminiambia nimpatie hela yake la sivyo nipishe waingie watu wengine.Nilijaribu kumsisitiza kwamba nitamlipa hela yake yote boom likitoka (boom litatoka kwenye mwezi wa nne mwanzoni) lakini ameshindwa kuafiki.

Hapa nilipo nawaza nifanyeje ili niweze ku~survive na ukizingatia Tena tupo kwenye mitihani ya UE.

Naombeni mchango wenu wandugu niweze kusaidika katika hili, Asante
Nimetokea kwenye zile familia ambazo kwao boom langu ndio tegemeo sometimes.
 
Kataa kuondoka mwambie unasubiri pesa ya kujikimu ili ikitoka umlipe, ikitoka mpe pesa yake akikataa hama.

Akikuita serikali za motaa au polisi wambie unasubiri pesa ya boom.
Usimuogope.

Alafu mnafanya UE mwezi huu watatu boom la tatu?? Na linabaki boom moja chuo mnamaliza mwezi wa ngapi?
 
Sawa mkuu.
Mtihani wa kumaliza semester ya kwanza 2024/2025.
Tunamaliza mwezi wa saba
 
Wewe ni mjinga wa mwisho unaishi nyumba ya laki na nusu na huna kipato chochote unachoingiza zaidi ya boom.Ndo nimeelewa kauli ya majaliwa ya wasomi kwenda veta inatakiwa ukimaliza uludi veta maana bado ujawa na utambuzi kifikra
Mkuu unalaumu tu,kupata hizo room za 30k sio rahisi.
Nilizitafuta sana
 
Tafuta watu wa karibu naye wenye uelewa waongee Naye, tena ikiwezekana boom uwe unamlipa miezi 6 ama ukipata mishe

Inawezekana ukipata pesa unajilusha hata mwenye nyumba anjua Hilo,
 
Umekosa ushauri wa maana hadi unamwambia alete ubabe kwenye nyumba ya watu? Kwani kusubiria boom ndo kuhalalisha kukaa kwenye nyumba ya watu huku unadaiwa kodi?

Ushauri mzuri ni kujishusha na kujaribu kuomba ukijifanya mbabe kwenye nyumba ya watu utaondolewa tu, na kisheria ana haki ya kuzuia vitu vya ndani vya jamaa ikiwa vitu hivyo vinalingana thamani na pesa anayomdai.

Kwahiyo usimshauri kumwaga petrol juu ya moto.
 
ACHA roho mbaya alafu jifunze kusoma na kuelewa ACHA Tabia za upinde mnduku wewe.

Ameshasema amemuomba amekataa Sasa unataka afanye Nini?
Mlipie wewe basi kama unajiona una hekima sana

F*uck you bitch
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…