Gidabed
JF-Expert Member
- Jan 29, 2023
- 699
- 1,263
Wakuu habari za wakati huu,natumaini mpo salama.
Mtanisamehe,mimi sio mwandishi nzuri.
Wakuu nina changamoto ambao nimeshindwa kulitatua hivyo nahitaji msaada wenu.
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu hapa Kilimanjaro,nimekuwa nikipitia vipindi vigumu sana kiuchumi,ni mengi ninayapitia.
Changamoto niliyonayo ni kuishiwa hela ya kodi ya chumba ambayo ni 150k(room ni 50k/month) na utaratibu ni kulipia kila baada ya miezi mitatu.
Na kodi ilishaisha juzi na mwenye nyumba aminiambia nimpatie hela yake la sivyo nipishe waingie watu wengine.Nilijaribu kumsisitiza kwamba nitamlipa hela yake yote boom likitoka (boom litatoka kwenye mwezi wa nne mwanzoni) lakini ameshindwa kuafiki.
Hapa nilipo nawaza nifanyeje ili niweze ku~survive na ukizingatia Tena tupo kwenye mitihani ya UE.
Naombeni mchango wenu wandugu niweze kusaidika katika hili, Asante
Nimetokea kwenye zile familia ambazo kwao boom langu ndio tegemeo sometimes.
Mtanisamehe,mimi sio mwandishi nzuri.
Wakuu nina changamoto ambao nimeshindwa kulitatua hivyo nahitaji msaada wenu.
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu hapa Kilimanjaro,nimekuwa nikipitia vipindi vigumu sana kiuchumi,ni mengi ninayapitia.
Changamoto niliyonayo ni kuishiwa hela ya kodi ya chumba ambayo ni 150k(room ni 50k/month) na utaratibu ni kulipia kila baada ya miezi mitatu.
Na kodi ilishaisha juzi na mwenye nyumba aminiambia nimpatie hela yake la sivyo nipishe waingie watu wengine.Nilijaribu kumsisitiza kwamba nitamlipa hela yake yote boom likitoka (boom litatoka kwenye mwezi wa nne mwanzoni) lakini ameshindwa kuafiki.
Hapa nilipo nawaza nifanyeje ili niweze ku~survive na ukizingatia Tena tupo kwenye mitihani ya UE.
Naombeni mchango wenu wandugu niweze kusaidika katika hili, Asante
Nimetokea kwenye zile familia ambazo kwao boom langu ndio tegemeo sometimes.