Nimepangiwa chuo cha ualimu kigoma stashada ya ualimu wa fizikia na biologia . Sasa naomba ushauri nfanyaje jameni na mi mipango yangu ilikuwa ni kwenda advance nikasome pcb
Chaguo lako la kwanza ulilochagua ni advance au chuo? kama ni advance je Combination zote ulizochagua zime "balance"???Nimepangiwa chuo cha ualimu kigoma stashada ya ualimu wa fizikia na biologia . Sasa naomba ushauri nfanyaje jameni na mi mipango yangu ilikuwa ni kwenda advance nikasome pcb
Nenda private PCB over.Nimepangiwa chuo cha ualimu kigoma stashada ya ualimu wa fizikia na biologia . Sasa naomba ushauri nfanyaje jameni na mi mipango yangu ilikuwa ni kwenda advance nikasome pcb
Kabisa aende tu ualimu, advance hamna cha maana kabisaAiseee kasome ualimu ,janga unalo litafuta utakuja juta baadae
Pokea huu ushauri.......otherwise jiandae kuvaa mitisheti ya CWT Mei mosiSoma advance mdogo wangu itakupa security unaweza kwenda kwenye mchepuo tofauti chuoni, ila ukisoma diploma ya ualimu , ina kustrict kuwa mwalimu peke yake. Unless una passion ya kufundisha na umeona fani nyingine hutaki kufanya