FiQ
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 477
- 76
Wadau niliwahi kutendwa kama mara 2 hv kiasi kwamba niliapa ctakuja kupenda tena.Nimedumu bila mpenzi kwa miaka miwili bt last 6 months kuna girl nimempenda sana tena nimevumilia bt mwezi huu nikampa ukweli akanizungusha kama cku wk hv then akakubali kuwa na mm,
hii ni baada ya kumuhakikishia kwamba cna mpenz na kuna cku nilimwambia kuwa namuamini sana na ili yeye pia aniamini mm nilimshawishi mpaka akakubali kwenda Angaza tukapima HIV na wote majibu yetu yapo safi,
sasa baada ya wk tatu ananiambia kuna boyfrnd wake alisoma nae A level na bado hawajaacha eti amekubali kuwa na mm coz ameona nampenda kwa dhati na yeye pia ananipenda., nikamwambia amuache huyo boy ili abaki na mm,akasema ni vigumu sana kumuacha coz is her 1st lover, amekiri ananipenda bt kumuacha huyo school lover wake ndio hawezi
Nampenda sana huyu binti yani ameuteka moyo wangu haswa bt mm ctak ku share mapenz je nifanyeje huyu binti anielewe na awe wangu daima!
Je nikimuoa huyu binti huyo school lover wake hawez kweli kuniibia mke coz kauli yake binti kuwa 1st lover ni vigumu kumuacha inanichanganya mno.
hii ni baada ya kumuhakikishia kwamba cna mpenz na kuna cku nilimwambia kuwa namuamini sana na ili yeye pia aniamini mm nilimshawishi mpaka akakubali kwenda Angaza tukapima HIV na wote majibu yetu yapo safi,
sasa baada ya wk tatu ananiambia kuna boyfrnd wake alisoma nae A level na bado hawajaacha eti amekubali kuwa na mm coz ameona nampenda kwa dhati na yeye pia ananipenda., nikamwambia amuache huyo boy ili abaki na mm,akasema ni vigumu sana kumuacha coz is her 1st lover, amekiri ananipenda bt kumuacha huyo school lover wake ndio hawezi
Nampenda sana huyu binti yani ameuteka moyo wangu haswa bt mm ctak ku share mapenz je nifanyeje huyu binti anielewe na awe wangu daima!
Je nikimuoa huyu binti huyo school lover wake hawez kweli kuniibia mke coz kauli yake binti kuwa 1st lover ni vigumu kumuacha inanichanganya mno.