Naomba ushauri

Dahh
kwa kweli
eti anakupenda
huku hachoki kukusimulia
kuhusu X Lover ..mmmmhhhbhh

Kwa nini tu hakukueleza
hayo yote wakati mmekutana

Nway just be careful
Sababu sounds like she still have fellings for X. now you know
About it ,just play your cards right...

AD! Not only a normal card, he should play a JOKER !
 
Habari za asubuhi kaka na pole kwa maswahibu yaliyokukuta.Kaka hapo unapigwa CHANGA LA MACHO na huyo demu ni MSANII nawe jiulize ataugawaje Moyo wake kwa watu wawili? KAA NAYE MBALI ANAKUPOTEZEA MUDA HUYO! Jitahidi utasahau kwan UMEPENDA SIPO!
 
Kaka chukua maamuz magum kwa faida ya moyo wako, vinginevyo utaendelea kuumia. kumbuka kwa kadiri utakavyo beba mzigo mzito kichwani mwako ndivyo unazidi kuchoka, jitahid kutua mzigo huo utakuwa salama. Tambua kuwa siyo kila utakayempenda anakufaa, mungu akusaidie upate atakaye kufaa. ubrikiwe.
 
Mwana fikiria lengo hasa lililokuweka hapo reflect ulikotoka na unakokwenda kwani andaa kwanza mazingira ya maisha kwanza kwani ma girl ni wengi sana na kila leo wanazidi kuzaliwa unaona huyo ni mzuri sana kwa sasa kwa sababu ndo unainteract naye wakati wote hapo katika pembetatu au nne.Na hapo ni mawazo ya kihisia tu thats y unasema INAKUWA NGUMU KUACHANA NAYE jaribu kutumia thinking capability yako na si hisia kwani HISIA NI UGONJWA MBAYA SANA.Pia jaribu kubadilisha interaction ya mafreind zao hasa kuwa makini na mazungumzo yao wayanenayo midomoni mwao,Maisha ya chuo ni tofauti sana hapo upo ndani ya geti na mambo yafanyikayo humo duuu so sad. Haaa ni mtizamo tu. Gudday!!!
Thanx man sasa nimepata idea za maana, Asanteni sana wadau mlioguswa na natizo langu nashukuru kwa ushauri wenu,naamini sasa nitafanya maamuzi sahihi.
 
Habari za asubuhi kaka na pole kwa maswahibu yaliyokukuta.Kaka hapo unapigwa CHANGA LA MACHO na huyo demu ni MSANII nawe jiulize ataugawaje Moyo wake kwa watu wawili? KAA NAYE MBALI ANAKUPOTEZEA MUDA HUYO! Jitahidi utasahau kwan UMEPENDA SIPO!
asante kaka, nashuru kwa ushauri wako wenye kunipa nguvu asante sana man.
 
Kaka chukua maamuz magum kwa faida ya moyo wako, vinginevyo utaendelea kuumia. kumbuka kwa kadiri utakavyo beba mzigo mzito kichwani mwako ndivyo unazidi kuchoka, jitahid kutua mzigo huo utakuwa salama. Tambua kuwa siyo kila utakayempenda anakufaa, mungu akusaidie upate atakaye kufaa. ubrikiwe.
Thanx a lot man bt i thnk hii ndio mwisho ctak kupenda tena, ctakuja kaa na kumuamin msichana na hata ikitokea msichana amenipenda cjui atafanya nini ili nimuamini mana huyu binti wa sasa uki plus na hao walionitenda ndio kabisa nakosa imani na hivi viumbe!
 
Thanx a lot man bt i thnk hii ndio mwisho ctak kupenda tena, ctakuja kaa na kumuamin msichana

Usiseme hivyo man najua huwez kaa maisha yote bila mwanamke. Sio wanawake wote wako hvyo, hao uliokutana nao wote ilikuwa bahat mbaya ila yupo aliye sahih kwa ajili yako muda ukifika utakutananae na utamfurahia. ubarikiwe
 
Wadau niliwahi kutendwa kama mara 2 hv kiasi kwamba niliapa ctakuja kupenda tena.Nimedumu bila mpenzi kwa miaka miwili bt last 6 months kuna girl nimempenda sana tena nimevumilia bt mwezi huu nikampa ukweli akanizungusha kama cku wk hv then akakubali kuwa na mm,
hii ni baada ya kumuhakikishia kwamba cna mpenz na kuna cku nilimwambia kuwa namuamini sana na ili yeye pia aniamini mm nilimshawishi mpaka akakubali kwenda Angaza tukapima HIV na wote majibu yetu yapo safi,
sasa baada ya wk tatu ananiambia kuna boyfrnd wake alisoma nae A level na bado hawajaacha eti amekubali kuwa na mm coz ameona nampenda kwa dhati na yeye pia ananipenda., nikamwambia amuache huyo boy ili abaki na mm,akasema ni vigumu sana kumuacha coz is her 1st lover, amekiri ananipenda bt kumuacha huyo school lover wake ndio hawezi
Nampenda sana huyu binti yani ameuteka moyo wangu haswa bt mm ctak ku share mapenz je nifanyeje huyu binti anielewe na awe wangu daima!
Je nikimuoa huyu binti huyo school lover wake hawez kweli kuniibia mke coz kauli yake binti kuwa 1st lover ni vigumu kumuacha inanichanganya mno.

You r running out of time!!!!!!!!! sepa huna chako hapo.
 
We unaambiwa unaweza kua nyumba ndogo alafu unalilia kua nyumba kubwa?Umeambiwa unapendwa ila mwenzio haachwi kwahiyo changanya miguu au tumianeni!
 
We unaambiwa unaweza kua nyumba ndogo alafu unalilia kua nyumba kubwa?Umeambiwa unapendwa ila mwenzio haachwi kwahiyo changanya miguu au tumianeni!
LIZY Haaaah haaah thanx dada, bt c unajua tena mtu ukipenda hali inavyokuwa!hapa ndio wadau wamejaribu kunionyesha other side ambayo kimazingira me nilikua siioni anyway bado nina maamuz magumu sana ya kuchukua
 
LIZY Haaaah haaah thanx dada, bt c unajua tena mtu ukipenda hali inavyokuwa!hapa ndio wadau wamejaribu kunionyesha other side ambayo kimazingira me nilikua siioni anyway bado nina maamuz magumu sana ya kuchukua

Mmh maamuzi magumu kati ya kuwa nyumba ndogo na kutafuta boma lako mwenyewe!??Dah...kila la kheri!
 
Thanx a lot man bt i thnk hii ndio mwisho ctak kupenda tena, ctakuja kaa na kumuamin msichana

Usiseme hivyo man najua huwez kaa maisha yote bila mwanamke. Sio wanawake wote wako hvyo, hao uliokutana nao wote ilikuwa bahat mbaya ila yupo aliye sahih kwa ajili yako muda ukifika utakutananae na utamfurahia. ubarikiwe
Jahmercy thanx kwa maneno yako ya kutia moyo bt mm naona wasichana hawana huruma!yani wanawakaida akishajua unampenda anakutesa so it z better 2b alone kuliko kupata maumivu.
 
Jahmercy thanx kwa maneno yako ya kutia moyo bt mm naona wasichana hawana huruma!yani wanawakaida akishajua unampenda anakutesa so itz better 2b alone kuliko kupata maumivu.
Futa kauli yako ya 'wasichana hawana huruma'!Umekutana na wangapi?Alafu kwenye mapenzi hakutakiwi huruma kukubaliwa maana siku hiyo huruma ikiisha ndo utashangaa akili.Ila tukirudi kwenye kua na huruma..unajuaje hamuonei huruma huyo mwingine?Hawezi kuwaridhisha wote
 
Futa kauli yako ya 'wasichana hawana huruma'!Umekutana na wangapi?Alafu kwenye mapenzi hakutakiwi huruma kukubaliwa maana siku hiyo huruma ikiisha ndo utashangaa akili.Ila tukirudi kwenye kua na huruma..unajuaje hamuonei huruma huyo mwingine?Hawezi kuwaridhisha wote
Lizy acha kumtetea mwenzako!huyu ameshakiri kwamba huyo school lover wake wala hana hata uhakika kama kweli anampenda kwa dhati yan bado hana guarantee ya mapenz kwa huyo boy thus y akakubali kua na mm baada ya kuona upendo wangu kwake! Tatizo ni kwamba eti 1st lover ni vigumu kumuacha, ctak kuamin hili bt kwa kuwa na ww ni msichana hebu niambie je ni kweli ni vigumu kumuacha 1st lover? Why?
 
Kama kweli unampenda, you would do anything to see her happy.
Even if it means you aren't part of her happiness.
Even if you aren't happy yourself.
Even if it means you have to let her go.
 
kaka ckufich kwa ufup huyo bint wewe hakupend labda alikukubalia huku akimpa jamaa muda wa kurudiana nae na ckufich ukisema umuoe awe mkeo utakuwa unaingia matatzon mwnyewe mana huyo mcchana hakupend. Kama angekuwa anakupenda acngeweza kugawa penz? Na kwakuuliza umewah kumuuliza kuhusu jamaa aliachana nae vp au ndo shule iliwatenganisha? Ila kaka mm ninakushaur anza kuandaa na wewe mlango wa kutokea mana mwenzio maesha utengeneza anasubir bomu ili atoke kuwa makin ucje juta
 
Wala sijamtetea ila nakufungua wewe macho!Hayo maswala ya ngumu kuacha siyajui maana binafsi sijawahi kuona ugumu wake.Mpaka ashindwe kumuacha mtu ambae hata uhakika wa kama anampenda hana ujue yeye anampenda sana!Nwyz kwa mara nyingine uondoe kauli kabla stimu za kuchangia hazijaisha maana "BAADHI" yetu tunachukia generolaizeshen!
 
Bado tu siku yako haijafika, itafika na utafurahi mpaka basi, hakuna cha mikosi wala nini,subiri wako wa moyo yuko njiani
 
Bado tu siku yako haijafika, itafika na utafurahi mpaka basi, hakuna cha mikosi wala nini,subiri wako wa moyo yuko njiani
okay Gada mm nitasubir tu hiyo cku bila kuchoka bt 4 sure nimekata tamaa na haya mauala ya mapenz naona ni wiz tu hakuna ukweli!
 
Back
Top Bottom