Jambo la awali ni kupunguza hizo unnecessary "o", halafu mpe rep power.
Hahaha . Si ulitoa tamko hapa watu wasionge rep power na kwenda kuomba vingine?Kumbe rep power ni ishara ya mapenzi, ahsante kwa mbinu
Mkabidhi kwa baba mungu, fanya maombi na sala kuhusu huyo unaetaka kumpenda.
Ili mungu akupe kibali,
Kibali cha mungu ndo kila kitu, sometime hauta hata mtongoza anaeza kuja mwenyeww.
Note that, sio kwa ajil ya kumchezea, ila ndoa
Mkabidhi kwa baba mungu, fanya maombi na sala kuhusu huyo unaetaka kumpenda.
Ili mungu akupe kibali,
Kibali cha mungu ndo kila kitu, sometime hauta hata mtongoza anaeza kuja mwenyeww.
Note that, sio kwa ajil ya kumchezea, ila ndoa
Mkuu Leo Hekima yako umeitumia vema! Hiki ulichomshauri akitendee kazi
Kaka mtumishi siku hizi upo mwaah
Mungu na akupe kibali mbele zake na mbele za mataifa. Amen
Ameeen,
Ameeen...... bado mito ...my dada hebu mfanyie kazi na huyu! Alafu ibra 87 naamini kazi umesha ianza, naomba ikamilike haraka
Mi mbona dada mtumishi Heaven Sent alishaniweka sawa mkuu sumbai, gospel lake nalielewa sana tu
Mkabidhi kwa baba mungu, fanya maombi na sala kuhusu huyo unaetaka kumpenda.
Ili mungu akupe kibali,
Kibali cha mungu ndo kila kitu, sometime hauta hata mtongoza anaeza kuja mwenyeww.
Note that, sio kwa ajil ya kumchezea, ila ndoa
Teh teh haya bana my kakaMi mbona dada mtumishi Heaven Sent alishaniweka sawa mkuu sumbai, gospel lake nalielewa sana tu
Aiseee...! Ila ufanye toba mkuu.
Maana shetan hapa juzi kati alifanikiwa kukuangusha ha haa...
Asante sana dada mtumishi uliyepakwa mafuta Heaven Sent
Illovo baba paroko ingependeza saana umuoe my dada mtumishi, heaven sent..
Nmewaza tuuu, ha ha haaa....
Cc Kaboom mkwe mwenye wivu
Teh teh haya bana my kaka
Weeeeeee Mungu hajasikia hayo maombi yako teh
Aiseee...! Ila ufanye toba mkuu.
Maana shetan hapa juzi kati alifanikiwa kukuangusha ha haa...
Sio maombi ni mawazo...! Nmewaza ha haa..