Naomba ushauri wenu

Naomba ushauri wenu

Huyo hyo ndo wako komaa nae, by nature all men are polygamists kuna variations ndg ndogo
 
Achana nae . Mwambie ye ni shetani wa mguu mmoja ,tena ni mshamba hajakua na hana adabu kama nyau wa hotelini.
Achana nae maidia akyanani utakuja kulia machozi ya pilipili oneday.
Me watu wa hii design aisee wakikatisha mbele yengu yani its just illegal to kill them.
Na hadi kujua ndo zake zimefika,once a liar ......!
Shaurilo bibi. Me kankera ka namjua.
 
Upo njia panda ya kwenda wapi binti...mimi wala sidhani kama upo njia panda...
Hadi sasa wewe ndiye mwenye uamuzi wa kusuka ama kunyoa...kuendelea ama kuacha.
Labda ngoja nikufumbue macho, kwa namna hali yenu ilipofikia wewe ndiye uliyeshikili hatma ya mahusiano yenu...
Ushauri wangu ni kwamba mkalishe huyo mwanaume, mwambie kuwa umemsamehe lakini hutarajii kuwa naye tena pamoja...ongea kwa kifupi sana na wala usimpe nafasi ya kujieleza.
Ukishafanya hivyo kata mawasiliano kabisa...hii itamuonesha kuwa hutetereshwi na itajenga thamani yako kwake.
Najua kama ni mwanaume akupendaye atajuta na kukuomba msamaha hadi ahakikishe mmekuwa pamoja tena....lakini kama huna thamani kwake atajifaragua kwa kuomba msamaha kwa muda fulani tu.

umemshauri vyema kabisa!
 
Mimi ni binti,nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tulipendana sana na mimi kufahamika kwao,,tatizo lilikuwa pindi nipo nae huwa hapendi niguse sim yake lakini sim yangu kugusa ni lazima,,siku nyingine nilikuwa na mpigia cm ucku inakuwa busy karibu nusu saa,kesho yake nikimuuliza alikuwa anaongea na nani,ananijibu ni alikuwa anaongea na kaka yake,,Siku 1 nilichukua cm yake kinguvu na kuanza kupekua kila kona,,,,
Niliyoyakuta yaliniumiza..!!!
Nilikuta msgs ambazo zilinitia uchungu sana pamoja na audio za sauti yakike ya kimahaba,,
Nilipomuliza akasema ni x girlfriend wake..!!,alijarbu kuniomba msamaha lakin ckumwelewa,,!!
Nmeamua kukaa kimya ingawa anaomba radh sana..
Jamanii naomba ushauri wenu ni msamehe au niendelee kuwa naye huku nikimpima matendo yake,,!!!
NIPO NJIA PANDA

1002196_10151639990871840_1307377321_n.jpg
 
hapo kosa kosa wewe utakuwa wa 5 au 7, kuendelea kuwa naye sio kwamba unampima matendo but umekubaliana na matendo ambayo kasha kuonyesha!!

Ila some time nyie wenyewe waznguaji sana that while now hatuwaamini kabisa!!
 
Mimi ni binti,nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tulipendana sana na mimi kufahamika kwao,,tatizo lilikuwa pindi nipo nae huwa hapendi niguse sim yake lakini sim yangu kugusa ni lazima,,siku nyingine nilikuwa na mpigia cm ucku inakuwa busy karibu nusu saa,kesho yake nikimuuliza alikuwa anaongea na nani,ananijibu ni alikuwa anaongea na kaka yake,,Siku 1 nilichukua cm yake kinguvu na kuanza kupekua kila kona,,,,
Niliyoyakuta yaliniumiza..!!!
Nilikuta msgs ambazo zilinitia uchungu sana pamoja na audio za sauti yakike ya kimahaba,,
Nilipomuliza akasema ni x girlfriend wake..!!,alijarbu kuniomba msamaha lakin ckumwelewa,,!!
Nmeamua kukaa kimya ingawa anaomba radh sana..
Jamanii naomba ushauri wenu ni msamehe au niendelee kuwa naye huku nikimpima matendo yake,,!!!
NIPO NJIA PANDA

Komaa naye. Wafrica ndivyo tuluvyo. Mia
 
Upo njia panda ya kwenda wapi binti...mimi wala sidhani kama upo njia panda...
Hadi sasa wewe ndiye mwenye uamuzi wa kusuka ama kunyoa...kuendelea ama kuacha.
Labda ngoja nikufumbue macho, kwa namna hali yenu ilipofikia wewe ndiye uliyeshikili hatma ya mahusiano yenu...
Ushauri wangu ni kwamba mkalishe huyo mwanaume, mwambie kuwa umemsamehe lakini hutarajii kuwa naye tena pamoja...ongea kwa kifupi sana na wala usimpe nafasi ya kujieleza.
Ukishafanya hivyo kata mawasiliano kabisa...hii itamuonesha kuwa hutetereshwi na itajenga thamani yako kwake.
Najua kama ni mwanaume akupendaye atajuta na kukuomba msamaha hadi ahakikishe mmekuwa pamoja tena....lakini kama huna thamani kwake atajifaragua kwa kuomba msamaha kwa muda fulani tu.
Aisee.... mnajijua saaanaaaaa........
nilitumia hii njia..... yule kaka sikumpa muda wa kujitetea na nikamwambia yamekwisha.....
akajua natania, sababu nilikuwa nampenda saaaanaaaa......
mkaka wa watu ananiomba msamaha mpaka kesho haamini kama sijamsamehe.... na kuoa kagoma, lol!
snowhite, njoo utoe suluhisho mbadala, ili angalau kama ataachwa kweli basi mkaka awe na nguvu ya kupenda na kuoa mwingine
 
Kuna mtu kauliza upo njia panda ya kuwenda wapi binti?
Wakati njia ni moja 2 hapo tena inaonekana tema moyo maisha yasonge..
 
Amandiva uko njia panda ya wapi...pole sana kwa mapenzi yenu ya kutokuaminiana,maana hadi mnapekuana simu seem nyinyi ni waarabu wa pemba,mnajuana kwa vilemba! Amekumulika mchana,msamehe akuoe,akutie kiberiti kabisa!
 
Sawa,nimekuelewa Young K...!!Wanaume wanamaudhi sana
ehee wanaume wana-maudhi sana, si eti Amandiva?..ha ha ha ha ha ha ha, sikia kitu kimoja dada angu ulichokikosa wewe ni taarifa nzuri kuhusu wanaume, na kibaya zaidi vijana wengi tumekuwa tukitengeneza ndoto na malengo kadha wa kadha juu ya maisha ya mahusiano ili-hali misingi tuliyosimamia ni aidha ujinga mtupu au upoteve/dhambi, please usimtege SHETANI eti ukae kimya ukimchunguza huyo jamaa!!! kama alikuumiza awali kisha ukashindwa kuyatoa yale maumivu ya awali usijidanganye tafuta watu wa classs yako utafurahi tu..maisha hayana kanuni dada yanaendeshwa kwa misingi fulani fulani hivi (>>>>>>>>>>)
 
binafsi huwa siamini katika second chance huyo mwanume wa inonekana dhahir shahiri sio muaminifu kwako cha kufanya kama unaweza punguza mapenzi yako kwake ila mpe last warnig,akiendelea mpige chini hata kama yakiwa nia maamuzi magumu kufanya kwako bora uwe na pengo kuliko jino bovu.
 
mimi ni binti,nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tulipendana sana na mimi kufahamika kwao,,tatizo lilikuwa pindi nipo nae huwa hapendi niguse sim yake lakini sim yangu kugusa ni lazima,,siku nyingine nilikuwa na mpigia cm ucku inakuwa busy karibu nusu saa,kesho yake nikimuuliza alikuwa anaongea na nani,ananijibu ni alikuwa anaongea na kaka yake,,siku 1 nilichukua cm yake kinguvu na kuanza kupekua kila kona,,,,
niliyoyakuta yaliniumiza..!!!
Nilikuta msgs ambazo zilinitia uchungu sana pamoja na audio za sauti yakike ya kimahaba,,
nilipomuliza akasema ni x girlfriend wake..!!,alijarbu kuniomba msamaha lakin ckumwelewa,,!!
Nmeamua kukaa kimya ingawa anaomba radh sana..
Jamanii naomba ushauri wenu ni msamehe au niendelee kuwa naye huku nikimpima matendo yake,,!!!
Nipo njia panda

ulijuaje kuwa ummependana sana? Jaribu kuwa mwangalifu, huyo mtu hakufai hata kidogo. Wengine wapo na wametumwa kwaajili ya maambukizo tu, huwa wanakuja kama mtu anaekupenda. Kama unapenda kufa basi endelea nae. Ushauri wangu ni kuwa "achana nae".
 
ulijuaje kuwa ummependana sana? Jaribu kuwa mwangalifu, huyo mtu hakufai hata kidogo. Wengine wapo na wametumwa kwaajili ya maambukizo tu, huwa wanakuja kama mtu anaekupenda. Kama unapenda kufa basi endelea nae. Ushauri wangu ni kuwa "achana nae".

Bibi na bwana wakigombana nyumbani, wacha wenyewe mpaka waelewanee, lakini ukiwaingilia, wakipatana utakuja kujuta eeeh. Huu wimbo naona kama unakuhusu.
 
Back
Top Bottom